Kitendo kinachoonekana dharau na ukaidi wa maagizo ya serikali bbaadhi ya watumishi wa umma bila ya sababu za msingi wamekaidi agizo la Mama Samia Suluhu la kufanya mazoezi kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi, nimepitia maeneo mbalimbali na kukuta mwitikio mdogo wa watumishi kufanya mazoezi kwa faida ya afya zao.
Labda nivipongeze vyombo vya ulinzi na usalama kwa kujitokeza kwa wingi katika kufanya mazoezi.
Hata mimi siku nyingine napaki gari langu na kutembea kwa miguu ingawa nanyonyesha.