Baadhi ya wadada wanaorusha video zao mitandaoni, huwa wana ndugu na wazazi kweli?

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
2,380
7,995
Habarini,

Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).

Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?

Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x

Screenshot_20241031-065313.jpg

Screenshot_20241031-065300.jpg
 
Habarini,

Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).

Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?

Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x

View attachment 3139608
View attachment 3139609
Hayo yote ni dunia
 
Habarini,

Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).

Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?

Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x

View attachment 3139608
View attachment 3139609
Hawa huiga toka kwa hao wazazi wao.. Wazazi wa hovyo hukuza watoto wa hovyo
 
Habarini,

Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).

Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?

Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x

View attachment 3139608
View attachment 3139609
Hizi ni burudani tu
Wala hamaanishi...
Anatafuta followers tu
 
Utakuta wao ndio wanao walisha hapo nyumbani. Kuna ujinga mwingi kwenye jamii yetu unao lelewa na hao wazee wake.
uko sahihi
kabla sijaokoka kuna nyumba(ubanda) tulikuwa tunakunywa gongo...huyo mama muuza ana vibinti vitano...ndio vihudumu,,,,halafu ukitaka kuondoka na kamoja unampooza maza buku 5......
Sasa vibinti vya malezi ya dizaini hii kujirekodi hivyo kwao ni jambo dogo saana
 
Habarini,

Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).

Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?

Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x

View attachment 3139608
View attachment 3139609
Ukiishi kwa kuogopa watu watakusemaje....utafeli. Ishi maisha yako.
 
Hakika ni CHANGAMOTO....pia kuna ile clip ya wale mabinti,walikuwa 6 au 7 nadhani wa Mwanza( wasikika wakisema hivyo) ,walikuwa wakipita mmoja mmoja kunako camera..yaani maneno waliokuwa wanayasema..dah ..tuzidi kumuomba Mwenyezi Mungu
 
Back
Top Bottom