Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,380
- 7,995
Habarini,
Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).
Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?
Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x
Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).
Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?
Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x