Baada ya Yahya Sinwar kuteuliwa kuiongoza Hamas, Israel inapata tabu sana

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
12,792
23,539
Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.

Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.

Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.

Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu

Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.

Screenshot_20240826-230324_1.jpg
 
Mpelekee hijab maana hazitoshi.. anajifunika hijab kama Allah

79)
Chapter: The saying of the Prophet (saws): "Allah does not sleep" and "His veil is light, and if he were to remove it, the splendour of his face would burn all of his creation, as far as has sight reaches".


Reference : Sahih Muslim 179c
In-book reference : Book 1, Hadith 352
USC-MSA web (English) reference : Book 1, Hadith 345
(deprecated numbering scheme)
 
Mpelekee hijab maana hazitoshi.. anajifunika hijab kama Allah

79)
Chapter: The saying of the Prophet (saws): "Allah does not sleep" and "His veil is light, and if he were to remove it, the splendour of his face would burn all of his creation, as far as has sight reaches".


Reference: Sahih Muslim 179c
In-book reference: Book 1, Hadith 352
USC-MSA web (English) reference: Book 1, Hadith 345
(deprecated numbering scheme)
1000338981.jpg
 
Mpelekee hijab maana hazitoshi.. anajifunika hijab kama Allah

79)
Chapter: The saying of the Prophet (saws): "Allah does not sleep" and "His veil is light, and if he were to remove it, the splendour of his face would burn all of his creation, as far as has sight reaches".


Reference: Sahih Muslim 179c
In-book reference: Book 1, Hadith 352
USC-MSA web (English) reference: Book 1, Hadith 345
(deprecated numbering scheme)
Pole najua inauma
 
Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.

Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.

Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.

Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu

Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.

View attachment 3080047
Huyu Sinwar anaeshinda ndani amevaa dera kama mama mjamzito?!
Au kuna Yahya mwingine humu JF
 
Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.

Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.

Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.

Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu

Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.

View attachment 3080047
Yahaya Sinwar huyu huyu aliyechoka kujificha kwenye mahandaki sasahivi anavaa hijabu na kujichanganya na maraia wa gaza au yupi?
 
Hao walinzi ni mapacha
Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.

Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.

Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.

Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu

Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.

View attachment 3080047
 
Hayo mavazi ambayo mtu akivaa utafikiri jini yanatakiwa yapigwe marufuku kwani magaidi wanayatumia kufichia mabomu na baadaye kujilipua na kuua watu wasio na hatia.

Ufaransa iliwahi kutokea na hata magaidi wa kiislam wa Boko Haram hutumia mtindo huo wa kuvaa mavazi ya kike ya kiarabu kama nikab na kufichamo mabomu na baadaye kujilipua na kuua watu.
 
Back
Top Bottom