Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

round kick

JF-Expert Member
Feb 3, 2025
271
957
Baada ya kufanya mahojiano na mwandishi mmoja alidai kwamba @alikiba hawezi kumfikia msanii wa Kenya Bienaimesol kwa uimbaji maana Alikiba anabana sana pua akiwa anaimba live. Alisema;

""Nani? Yule mbana pua, hapana kweli. Usimfanishe na Bien, msifananishe wabana pua na waimbaji wa rnb major, yule ni wakufananisha na wale waimbaji wa kihindi maana ndio wabana pua wenzake. Huwezi kuwashindanisha wabana pua na watu wenye vipaji vya Rnb, hawezi yule."

Alikiba kaposti instagram kwa kumjibu

"Umekuwa ukiropoka sana mitandaoni bila kujiheshimu wala kuheshimu watu sijui unajiona nani yani kama vile wewe ndio unapandisha watu daraja katika maisha mabadiriko yako ya akili unayaweka hadharani unataka tujiskie vipi sisi tunao kuheshimu unaropoka sana siku hizi umesahau brand yako uliyoitengeneza miaka mingi unahitaji kunyama sio kila kitu watu wasubiri utasema nini unadalili zote za upinde maana umekosa heshima siku hizi badirika unachokifanya sio sifa nzuri"

caption - Upinde 🍆

1740864771218.png
 
Tatizo Master Jay mziki anaujua. Am sorry king, he got you this time.

Sema na wewe Master jiheshimu. Profile yako ni kubwa sana kuzungumza kama ulivyozungumza. Ni kama umemtukana Kiba ungeweza kutetea hoja yako katika namna nyingine bora zaidi ya hiyo.

Kiba naye kapanic kajibu kama msela wa Manzese.
 
Baada ya kufanya mahojiano na mwandishi mmoja alidai kwamba @alikiba hawezi kumfikia msanii wa Kenya Bienaimesol kwa uimbaji maana Alikiba anabana sana pua akiwa anaimba live. Alisema;

""Nani? Yule mbana pua, hapana kweli. Usimfanishe na Bien, msifananishe wabana pua na waimbaji wa rnb major, yule ni wakufananisha na wale waimbaji wa kihindi maana ndio wabana pua wenzake. Huwezi kuwashindanisha wabana pua na watu wenye vipaji vya Rnb, hawezi yule."

Alikiba kaposti instagram kwa kumjibu

"Umekuwa ukiropoka sana mitandaoni bila kujiheshimu wala kuheshimu watu sijui unajiona nani yani kama vile wewe ndio unapandisha watu daraja katika maisha mabadiriko yako ya akili unayaweka hadharani unataka tujiskie vipi sisi tunao kuheshimu unaropoka sana siku hizi umesahau brand yako uliyoitengeneza miaka mingi unahitaji kunyama sio kila kitu watu wasubiri utasema nini unadalili zote za upinde maana umekosa heshima siku hizi badirika unachokifanya sio sifa nzuri"

caption - Upinde 🍆

View attachment 3255328
Atakua ameanza kutumia madawahuyu achunguzwe
 
Tatizo Master Jay mziki anaujua. Am sorry king, he got you this time.

Sema na wewe Master jiheshimu. Profile yako ni kubwa sana kuzungumza kama ulivyozungumza. Ni kama umemtukana Kiba ungeweza kutetea hoja yako katika namna nyingine bora zaidi ya hiyo.

Kiba naye kapanic kajibu kama msela wa Manzese.
Kamjibu kama yeye master j alivyojibu kama msela wa keko
 
Alikiba kuimba hajui.ni zaidi ya mbana pia

Ukitaka kuamini hilo hudhuria matamasha yao ni uchafu mtupu
Sio alikiba tu karibu wasanii wote wa bongfleva saiv ata diamond

Technology inawasaidia

Kuna dada anaitwa grace matata ukimsikiliza live utataman akuimbie hadi asubuh
Mwingine chrstian belaa ni noma

Ila Hawa kina diamond,mario raymond, alikiba harmonize na wengine wabana pua promax
 
Alikiba kuimba hajui.ni zaidi ya mbana pia

Ukitaka kuamini hilo hudhuria matamasha yao ni uchafu mtupu
Sio alikiba tu karibu wasanii wote wa bongfleva saiv ata diamond

Technology inawasaidia

Kuna dada anaitwa grace matata ukimsikiliza live utataman akuimbie hadi asubuh
Mwingine chrstian belaa ni noma

Ila Hawa kina diamond,mario raymond, alikiba harmonize na wengine wabana pua promax
Bongo flavor wangeachana kabisa na hiyo biashara ya matamasha ya 'live' yanawadisappoint sana.
 
Tatizo Master Jay mziki anaujua. Am sorry king, he got you this time.

Sema na wewe Master jiheshimu. Profile yako ni kubwa sana kuzungumza kama ulivyozungumza. Ni kama umemtukana Kiba ungeweza kutetea hoja yako katika namna nyingine bora zaidi ya hiyo.

Kiba naye kapanic kajibu kama msela wa Manzese.
Master J amekua akimdiss Kiba kwa muda mrefu sasa! Bora alivyojibiwa.
 
Alikiba kuimba hajui.ni zaidi ya mbana pia

Ukitaka kuamini hilo hudhuria matamasha yao ni uchafu mtupu
Sio alikiba tu karibu wasanii wote wa bongfleva saiv ata diamond

Technology inawasaidia

Kuna dada anaitwa grace matata ukimsikiliza live utataman akuimbie hadi asubuh
Mwingine chrstian belaa ni noma

Ila Hawa kina diamond,mario raymond, alikiba harmonize na wengine wabana pua promax
Kabane pua nawe uimbe hivi

View: https://x.com/KenyanSays/status/1883752165824749756
 
Back
Top Bottom