Baada ya kelele nyingi za rushwa nda ya CHADEMA Lissu afungwa mdomo na Mbowe!

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
15,642
18,780
Pesa haijawahi muacha mtu salama tangu enzi za mitume na manabii pesa ni sabuni ya roho,ukiona mtu anapiga kelele sana kuhusu rushwa hajaunganishwa kwenye mfumo,nani hataki raha toka aanze ni yeye na kupanda punda tu,
Sasa kapandishwa chopa anacheeka hatutosikia tena pesa za mama Abduli zinavuruga chama Mbowe ana akili sana kamtia kwenye buyu la asali nae ajirambe!
Cheki hapo kosi la mafisadi upande wa upinzani maskini msigwa kaachwa!
 

Attachments

  • 20240622_102421.jpg
    20240622_102421.jpg
    499.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom