Baada ya Gambo kuanza kuishambulia ofisi ya Rais TAMISEMI, rasmi natangaza mazishi ya ubunge wake wa jimbo la Arusha

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
17,638
28,869
Mrisho Gambo ni mwanasiasa ambaye anaishi kwa fitna na majungu. Ili adumu katika siasa lazima amuumize mtu na kumfanya aonekane mbaya.

Sasa ameyakanyaga. Baada ya jaribio lake la kumchafua Makonda kuonekana kukwama, jana ameonekana kuihusisha ofisi ya Rais Tamisemi, kule anakosimamia Mwenyekiti wa CCM.

Kwa msingi huo, natangaza rasmi mazishi y shughuli za kisiasa za Gambo mkoani Arusha, hasa Ubunge. Mazishi yatafanyika alasiri baada ya Bunge kuvunjwa. Innalilah Wainalilah Rajoon
 
Mrisho Gambo ni mwanasiasa ambaye anaishi kwa fitna na majungu. Ili adumu katika siasa lazima amuumize mtu na kumfanya aonekane mbaya.

Sasa ameyakanyaga. Baada ya jaribio lake la kumchafua Makonda kuonekana kukwama, jana ameonekana kuihusisha ofisi ya Rais Tamisemi, kule anakosimamia Mwenyekiti wa CCM.

Kwa msingi huo, natangaza rasmi mazishi y shughuli za kisiasa za Gambo mkoani Arusha, hasa Ubunge. Mazishi yatafanyika alasiri baada ya Bunge kuvunjwa. Innalilah Wainalilah Rajoon
Sema kumshambulia Mkwe wa Rais Samia.
 
Mrisho Gambo ni mwanasiasa ambaye anaishi kwa fitna na majungu. Ili adumu katika siasa lazima amuumize mtu na kumfanya aonekane mbaya.

Sasa ameyakanyaga. Baada ya jaribio lake la kumchafua Makonda kuonekana kukwama, jana ameonekana kuihusisha ofisi ya Rais Tamisemi, kule anakosimamia Mwenyekiti wa CCM.

Kwa msingi huo, natangaza rasmi mazishi y shughuli za kisiasa za Gambo mkoani Arusha, hasa Ubunge. Mazishi yatafanyika alasiri baada ya Bunge kuvunjwa. Innalilah Wainalilah Rajoon
Alimtamkia MKWE WA RAISI...YAAN KAMTAMKIA MCHEGERWA KUA ANA HADAA/ POTOSHA BUNGE🤣😂🤣😂😊

SIJAONA SHIDA YA GAMBO ILA NI MBUYU MKUBWA SANAA ALIJARIBU KUUTOA KWA KIWEMBEE..
 
Hakuna namna Mkwe wa Rais mwenye kifua kipana ndiye mtu anayeaminika zaidi kuliko Mawaziri wote kwa sasa.
Moja kati ya jambo la msingi katika uongozi ni kukaa na unaowaamini. Nyerere alikuwa na akina Butiku na Warioba
 
Back
Top Bottom