Audio mpya:Harmonize na Rich Mavoko-Show Me.WCB will going on air forever

njoo ushuhudie leo dar live hamorapa akiingia na helicopter. kiboko wa mabishoo kiboko ya wasafi
 
watz mna mambo ya wivu sana.mtu ukiwa nchi za nje unaambiwa nitajie msanii unae mkubal tz kwa akili zako timam unaweza kutaja jina la harmorapa?
 
Huu wimbo ni wimbo mbaya sana tangu wcb ianzishwe

Halafu huyu harmorapa anatembelea nyota ya harmonize nini??maana wamakonde hawachelewi kwenye mambo ya ushirikina maana tangu aanze kuimba harmonize amepotea vibaya sana kila wimbo anaoutoa mbovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…