Atembea umbali wa kilomita 850 kwenda kumpiga mteja aliyetoa maneno ya kejeli mtandaoni

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
732
1,470
China na balaa_20250423_151315_0000.png


China bhana kila kitu kinawezekana!! Umeshawahi kuwaza siku utembee umbali mrefu kwenda kumtafutia mteja aliyetukana bidhaa zako na kumpiga.

Kuna jamaa mmoja ambaye ni muuzaji wa bidhaa mbalimbali kupitia online Aliweza kutembea umbali wa kilomita 850km ili kumfuata mteja ambaye alitoa maneno ya kejeli juu ya bidhaa anazotuma Mitandaoni.

Tukio limetokea baada mteja mmoja kutoa malalamiko juu ya bidhaa anazouza huyo muuzaji sio nzuri, kwa mujibu wa Mwenye duka ndipo akaamua kumfuatilia mteja huyo na kumtishia.

Tukio ili limezua utata juu ya umakini wa wafanyabiashara kutopenda kabisa biashara zao zichezewe. Unasemaje kuhusu Tukio ili tuachie maoni yako??
 
Stor za kusadikikaa tu,km 800 c mchezo kutembeaa🤔

Kwan mleta mada umetonaje Wana jamii na hyo story Yako ya jabaa🚬
 
Back
Top Bottom