Wale wanaoamini katika falsafa za Mwalimu Nyerere wakumbuke maneno haya
CCM itangushwa na wana CCM wenyewe
No reform no election ni falsafa muhimu sana kwa wakati huu lakini Hawa wanaoihubiri kwa nguvu sana sio wanaoenda kunufaika nayo
Aminini nawambieni yupo huyu mtu mwenye nguvu nyingi na mikakati imara zaidi ya hayat yule wa Monduli
ACT kusaini maadili sio matakwa Yao kama chama Bali ni maandalizi ya kumpokea huyu mwanakondoo aletaye matumaini
Wale wazee wa suti nyeusi baadhi Yao wako nyuma yake kwa Siri sana
Makanisa yote yapo nyuma yake kwa Siri na kwa dhahiri
Hakika nawambieni huu unakwenda kuwa uchaguzi mgumu kwa chama tawala kuliko yote kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu
Zingatia huu sio utabiri ni jambo hilpo kwenye mikakati haswaa
CCM itangushwa na wana CCM wenyewe
No reform no election ni falsafa muhimu sana kwa wakati huu lakini Hawa wanaoihubiri kwa nguvu sana sio wanaoenda kunufaika nayo
Aminini nawambieni yupo huyu mtu mwenye nguvu nyingi na mikakati imara zaidi ya hayat yule wa Monduli
ACT kusaini maadili sio matakwa Yao kama chama Bali ni maandalizi ya kumpokea huyu mwanakondoo aletaye matumaini
Wale wazee wa suti nyeusi baadhi Yao wako nyuma yake kwa Siri sana
Makanisa yote yapo nyuma yake kwa Siri na kwa dhahiri
Hakika nawambieni huu unakwenda kuwa uchaguzi mgumu kwa chama tawala kuliko yote kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu
Zingatia huu sio utabiri ni jambo hilpo kwenye mikakati haswaa