Pre GE2025 Askofu Mameo: Taifa lirudi katika misingi ya Haki, agusia Tume Huru, na 'No Reforms' asema Ikulu imegeuka kuwa sehemu ya lawama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,488
7,021
Wakuu!

Ibada ya Ijumaa Kuu Kitaifa imefanyika katika Kanisa la KKKT Ushirika wa Ifakara Mjini, Dayosisi ya Ulanga Kilombero, ambapo imetumia nafasi hiyo kueleza kuhusu hali ya kisiasa na kijamii nchini, wakati huu Taifa likielekea kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani Oktoba 2025.

IMG_4036.jpeg

Akihubiria waumini na wageni waliohudhuria ibada hiyo, Askofu Mameo ameeleza kuwa kukamata watu na kuwaweka ndani si suluhisho la kupunguza malalamiko, bali ni kuongeza hofu na kutoaminiana.

Amesema Waafrika wengi, hasa viongozi, hawapendi kukosolewa na badala yake huishia kushambulia wakosoaji wao. Aidha, watendaji wa Serikali wametakiwa kuacha tabia ya kumdanganya Rais, kwani ni wajibu wa Serikali kusikiliza na kuchukua hatua juu ya malalamiko yanayohusu uchaguzi na kuwepo kwa manung’uniko dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Viongozi wa kisiasa na vyama vyao wametakiwa watangaze sera zao badala ya kutegemea mihemko ya kisiasa, huku akionya kuwa Ikulu imegeuka kuwa sehemu ya lawama badala ya kuwa kitovu cha suluhisho.



 
Wakuu!

Ibada ya Ijumaa Kuu Kitaifa imefanyika katika Kanisa la KKKT Ushirika wa Ifakara Mjini, Dayosisi ya Ulanga Kilombero, ambapo imetumia nafasi hiyo kueleza kuhusu hali ya kisiasa na kijamii nchini.

Ahutubia waumini na wageni waliohudhuria ibada hiyo, ameeleza kuwa kukamata watu na kuwaweka ndani si suluhisho la kupunguza malalamiko, bali ni kuongeza hofu na kutoaminiana.

Amesema Waafrika wengi, hasa viongozi, hawapendi kukosolewa na badala yake huishia kushambulia wakosoaji wao. Aidha, watendaji wa Serikali wametakiwa kuacha tabia ya kumdanganya Rais, kwani ni wajibu wa Serikali kusikiliza na kuchukua hatua juu ya malalamiko yanayohusu uchaguzi na kuwepo kwa manung’uniko dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Viongozi wa kisiasa na vyama vyao wametakiwa watangaze sera zao badala ya kutegemea mihemko ya kisiasa, huku akionya kuwa Ikulu imegeuka kuwa sehemu ya lawama badala ya kuwa kitovu cha suluhisho.

ni muhimu zaid wakristo moja moja kutumia biblia kama njia ya uhakika ya kutatua kusuluhisha changamoto zao binafsi za kimwili na roho kuliko kuchochewa na maneo ambayo wakati mwingine hua ya chuki na wenye maslahi ya kisiasa na mrengo fulani ya kisiasa na kutumia kanisa kama platform ya kisiasa 🐒
 
ni muhimu zaid wakristo moja moja kutumia biblia kama njia ya uhakika ya kutatua kusuluhisha changamoto zao binafsi za kimwili na roho kuliko kuchochewa na maneo ambayo wakati mwingine hua ya chuki na wenye maslahi ya kisiasa na mrengo fulani ya kisiasa na kutumia kanisa kama platform ya kisiasa 🐒
Shame on you
Huna moral authority ya kuwaelekeza watumishi wa bwana nini cha kusema.
Nyie endeleeni na hao watapeli wenu akina gwaji boy na mwaisa.
 
Shame on you
Huna moral authority ya kuwaelekeza watumishi wa bwana nini cha kusema.
Nyie endeleeni na hao watapeli wenu akina gwaji boy na mwaisa.
Chukua hayo mwaidha yatakusaidia sana gentleman,
acha kupandisha mihemko ya mapepo yasiyo penda kuona ukweli ukisemwa wazi 🐒
 
ni muhimu zaid wakristo moja moja kutumia biblia kama njia ya uhakika ya kutatua kusuluhisha changamoto zao binafsi za kimwili na roho kuliko kuchochewa na maneo ambayo wakati mwingine hua ya chuki na wenye maslahi ya kisiasa na mrengo fulani ya kisiasa na kutumia kanisa kama platform ya kisiasa 🐒
Hawa walikuwa mawaziri wa Liberia 1980, walikuwa na kejeli kama hizi, lakini ukaja wakati wanyonge/walioonewa miaka kama ya kwetu hapa, wakasema bsi. Matokeo yake ni haya! Take cre!

TUTENDE HAKI TUIEPUSHE NA MAMBO KAMA HAYA. JENERALI AMEONYA HAYA HAYA JUZI...HATUJUI NI LINI
 

Attachments

  • LIBERIA FIRING.docx
    272.3 KB · Views: 2
Hawa walikuwa mawaziri wa Liberia 1980, walikuwa na kejeli kama hizi, lakini ukaja wakati wanyonge/walioonewa miaka kama ya kwetu hapa, wakasema bsi. Matokeo yake ni haya! Take cre!

TUTENDE HAKI TUIEPUSHE NA MAMBO KAMA HAYA. JENERALI AMEONYA HAYA HAYA JUZI...HATUJUI NI LINI
Ikiwa wewe ni mkristo zingatia mawaidha yangu ambayo ni muhimu zaid kuliko kuzingatia maneno ya hao manabii wa uongo ambao hutumia shida na mahangaiko yako kukudanganya,

kuna siku watakudanganya utumie kinyesi chako upokee muujiza wa gari unalotafuta muda mrefu,

hali ya kua umeikalia bibilia yenye majawabu na masuluhisho ya mahangaiko yako yote unayopitia humu duniani,

epuka uvivu wa kufikiri utaburuzwa na kudanganywa hadi uote upara gentleman huku suluhisho la shida zako likiwa mikononi mwako 🐒
 
ni muhimu zaid wakristo moja moja kutumia biblia kama njia ya uhakika ya kutatua kusuluhisha changamoto zao binafsi za kimwili na roho kuliko kuchochewa na maneo ambayo wakati mwingine hua ya chuki na wenye maslahi ya kisiasa na mrengo fulani ya kisiasa na kutumia kanisa kama platform ya kisiasa 🐒
Ulitaka wahubiri amani na utulivu bila kuzungumzia haki kama wale mashehe ubwabwa? Umemsikiliza shehe Ponda jins alivyonyooka na haki kwanza?
 
Ulitaka wahubiri amani na utulivu bila kuzungumzia haki kama wale mashehe ubwabwa? Umemsikiliza shehe Ponda jins alivyonyooka na haki kwanza?
viongoz wengi wa dini wamesahau au wameshindwa kabisa kuhubiri neno la Mungu na kubadili Mioyo ya waTanzania kumuamini na kumtumaini Mungu,

Wameamua kukimbia kuhubiri neno la Mungu na kudandia siasa ambazo saa zingine zinadhihirisha mirengo waliomo kisiasa na saa zingine wanatumia madhabahu kuchochea chuki na uhasama miongoni mwa waumini wao wenye mirengo tofauti ya kisiasa.

Wanafanya kazi kubwa kubomoa na kuligawanya kanisa lao kwa kuhubiri siasa madhabahuni 🐒
 
viongoz wengi wa dini wamesahau au wameshindwa kabisa kuhubiri neno la Mungu na kubadili Mioyo ya waTanzania kumuamini na kumtumaini Mungu,

Wameamua kukimbia kuhubiri neno la Mungu na kudandia siasa ambazo saa zingine zinadhihirisha mirengo waliomo kisiasa na saa zingine wanatumia madhabahu kuchochea chuki na uhasama miongoni mwa waumini wao wenye mirengo tofauti ya kisiasa.

Wanafanya kazi kubwa kubomoa na kuligawanya kanisa lao kwa kuhubiri siasa madhabahuni 🐒
Sasa hao ndiyo wanafuata mafundusho ya Yesu Kristu. Ukiangalia pembeni na kukaa kimya wakati wengine wananyimwa haki zao ni kumkana Yesu Kristu. Nadhani na uislam ni hivyohivyo ila tu basi mnafikiri serikali ni ya dini yenu ndiyo maana mnashikamana nayo na kukaa kimya kwa maovu inayowafanyia wananchi wasio na hatia.
 
Isit
ni muhimu zaid wakristo moja moja kutumia biblia kama njia ya uhakika ya kutatua kusuluhisha changamoto zao binafsi za kimwili na roho kuliko kuchochewa na maneo ambayo wakati mwingine hua ya chuki na wenye maslahi ya kisiasa na mrengo fulani ya kisiasa na kutumia kanisa kama platform ya kisiasa 🐒
Isitoshe kusema wewe ni ushuzi
 
ni muhimu zaid wakristo moja moja kutumia biblia kama njia ya uhakika ya kutatua kusuluhisha changamoto zao binafsi za kimwili na roho kuliko kuchochewa na maneo ambayo wakati mwingine hua ya chuki na wenye maslahi ya kisiasa na mrengo fulani ya kisiasa na kutumia kanisa kama platform ya kisiasa 🐒
Kabisa! Likiwemo na la kukosoa Viongozi na kuwaonya juu ya dhambi zao! Mfano kukemea rushwa,uovu,uvunjaji wa Haki za binadamu.
 
ni muhimu zaid wakristo moja moja kutumia biblia kama njia ya uhakika ya kutatua kusuluhisha changamoto zao binafsi za kimwili na roho kuliko kuchochewa na maneo ambayo wakati mwingine hua ya chuki na wenye maslahi ya kisiasa na mrengo fulani ya kisiasa na kutumia kanisa kama platform ya kisiasa 🐒
Kabisa! Likiwemo na la kukosoa Viongozi na kuwaonya juu ya dhambi zao! Mfano kukemea rushwa,uovu,uvunjaji wa Haki za binadamu.
 
Kabisa! Likiwemo na la kukosoa Viongozi na kuwaonya juu ya dhambi zao! Mfano kukemea rushwa,uovu,uvunjaji wa Haki za binadamu.
ni muhimu sana kanisa likabeba lawama kubwa badala ya kulalamika kwa kushindwa kwao kuwajenga vizuri kiroho hao viongoz wa umma wanao walalamikia ambao ni waamini wao, kwa kujaribu kuchochea chuki miongoni mwa waamini wao na kuligawa kanisa,

ni muhimu wakatupa biblia na kujiunga rasmi na siasa ikiwa wanaona inafaa 🐒
 
Sasa hao ndiyo wanafuata mafundusho ya Yesu Kristu. Ukiangalia pembeni na kukaa kimya wakati wengine wananyimwa haki zao ni kumkana Yesu Kristu. Nadhani na uislam ni hivyohivyo ila tu basi mnafikiri serikali ni ya dini yenu ndiyo maana mnashikamana nayo na kukaa kimya kwa maovu inayowafanyia wananchi wasio na hatia.
hao waovu ni waamini wa nani?
wanasali wapi?

ni nani ameshindwa kuwafanya wasiwe waovu kimwili na kiroho?

Haiwezekani ufanye uzembe katika kuwafinyanga waamini wako vizuri kimwili na kiroho ili wasiwe waovu, umeachana na bibilia umeng'ang'ana kwenye muujiza na upako 🤣

Kama kazi ya kanisa ya kuhubiri neno la Mungu imewashinda, waachane nayo wajiunge rasmi kwenye siasa ili wahubiri chuki na migawanyiko vizuri zaid, hakuna haja ya kujificha kwenye kanisa 🐒
 
Wakuu!

Ibada ya Ijumaa Kuu Kitaifa imefanyika katika Kanisa la KKKT Ushirika wa Ifakara Mjini, Dayosisi ya Ulanga Kilombero, ambapo imetumia nafasi hiyo kueleza kuhusu hali ya kisiasa na kijamii nchini, wakati huu Taifa likielekea kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani Oktoba 2025.

Akihubiria waumini na wageni waliohudhuria ibada hiyo, ameeleza kuwa kukamata watu na kuwaweka ndani si suluhisho la kupunguza malalamiko, bali ni kuongeza hofu na kutoaminiana.

Amesema Waafrika wengi, hasa viongozi, hawapendi kukosolewa na badala yake huishia kushambulia wakosoaji wao. Aidha, watendaji wa Serikali wametakiwa kuacha tabia ya kumdanganya Rais, kwani ni wajibu wa Serikali kusikiliza na kuchukua hatua juu ya malalamiko yanayohusu uchaguzi na kuwepo kwa manung’uniko dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Viongozi wa kisiasa na vyama vyao wametakiwa watangaze sera zao badala ya kutegemea mihemko ya kisiasa, huku akionya kuwa Ikulu imegeuka kuwa sehemu ya lawama badala ya kuwa kitovu cha suluhisho.

Ibada zingine ni kwenda kupoteza muda tu sitaenda tena ibada itakayoongozwa na huyo Askofu
 
Back
Top Bottom