Askofu Mwamakula: Vyuo Vikuu vinazalisha wahitimu wanaokuwa "Machawa" wa wanasiasa

Wild Flower

JF-Expert Member
Jul 20, 2023
283
619
Akichangia mjadala katika Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, Askofu wa Kanisa la Moravian Revival Church, Emmaus Mwamakula amesema kuwa kuna vyuo vikuu nchini vinashindwa kuandaa viongozi wa baadae badala yake kuzalisha wahitimu wanaojipendekeza kwa wanasiasa na kuona Siasa ni ajira

Amesema hayo Septemba 14, 2024 katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Demokrasia yaliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Demokrasia (NDI) kutoka Marekani iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Askofu Mwamakula amesema "Hakuna mijadala tena kwenye vyuo viku na hali imekuwa mbaya na hata wahadhiri kwenye vyuo vikuu wamekuwa chawa. Sasa kwa hali kama hii nchi yetu inakuwa mbaya sana,"
 
Hivi kwanini sikuiz VIONGOZI wa dini wana jihusisha sana na siasa
Asa hawa maaskofu🙂
Ingawa alicho sema ni sahihi
Kama UDOM bila kuwa CCM hupew uongozi wa chuo
 
Akichangia mjadala katika Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, Askofu wa Kanisa la Moravian Revival Church, Emmaus Mwamakula amesema kuwa kuna vyuo vikuu nchini vinashindwa kuandaa viongozi wa baadae badala yake kuzalisha wahitimu wanaojipendekeza kwa wanasiasa na kuona Siasa ni ajira

Amesema hayo Septemba 14, 2024 katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Demokrasia yaliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Demokrasia (NDI) kutoka Marekani iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Askofu Mwamakula amesema "Hakuna mijadala tena kwenye vyuo viku na hali imekuwa mbaya na hata wahadhiri kwenye vyuo vikuu wamekuwa chawa. Sasa kwa hali kama hii nchi yetu inakuwa mbaya sana,"
Bila uchawa watakula wapi! Maana hata kazi zinapatikana kichawa chawa
 
Akichangia mjadala katika Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, Askofu wa Kanisa la Moravian Revival Church, Emmaus Mwamakula amesema kuwa kuna vyuo vikuu nchini vinashindwa kuandaa viongozi wa baadae badala yake kuzalisha wahitimu wanaojipendekeza kwa wanasiasa na kuona Siasa ni ajira

Amesema hayo Septemba 14, 2024 katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Demokrasia yaliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Demokrasia (NDI) kutoka Marekani iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Askofu Mwamakula amesema "Hakuna mijadala tena kwenye vyuo viku na hali imekuwa mbaya na hata wahadhiri kwenye vyuo vikuu wamekuwa chawa. Sasa kwa hali kama hii nchi yetu inakuwa mbaya sana,"
Imani yangu ni kuwa wakuu wa vyuo hivyo ndio wahusika wa uaandaji wa hawa machawa kama fadhila za teuzi hizi.
 
Elimu ya Tanzania ilishamezwa na Siasa kitambo, hata Wasomi wakubwa hususan Maprofesa wanakimbilia kwenye Siasa kufuata maokoto
 
Hivi kwanini sikuiz VIONGOZI wa dini wana jihusisha sana na siasa
Asa hawa maaskofu🙂
Ingawa alicho sema ni sahihi
Kama UDOM bila kuwa CCM hupew uongozi wa chuo
Kwa sababu ndyo wenye Maono na taa ya kizazi hata kizazi.
Amegusiaa UDSM hapo hajakoseaa hata kidogo
 
Kwa sababu ndyo wenye Maono na taa ya kizazi hata kizazi.
Amegusiaa UDSM hapo hajakoseaa hata kidogo
Uko ni kutengeza machawa huwezi kuwa na maono kama una andaliwa kusifu kila unacho kiona
How many years kuanzia nchi imepata uhuru hayo MAONO YAKO WAPI
 
Hivi kwanini sikuiz VIONGOZI wa dini wana jihusisha sana na siasa
Asa hawa maaskofu🙂
Ingawa alicho sema ni sahihi
Kama UDOM bila kuwa CCM hupew uongozi wa chuo
Kama haujui
#Hata dini pia ni siasa,hivyo hajakosea
 
Hivi kwanini sikuiz VIONGOZI wa dini wana jihusisha sana na siasa
Asa hawa maaskofu🙂
Ingawa alicho sema ni sahihi
Kama UDOM bila kuwa CCM hupew uongozi wa chuo
Wasipojihusisha na siasa nani atakemea maovu yanayoendelea kwenye jamii zetu? Hivi ukiwa padri, mchungaji au shehe huna ndugu huko kwenye jamii inayokuzunguka? Je waumini wako wanavyopata madhila wewe kazi yako ni kusema tumuachie Mungu??
 
Wasipojihusisha na siasa nani atakemea maovu yanayoendelea kwenye jamii zetu? Hivi ukiwa padri, mchungaji au shehe huna ndugu huko kwenye jamii inayokuzunguka? Je waumini wako wanavyopata madhila wewe kazi yako ni kusema tumuachie Mungu??
Kuna kukumea na kuna kujihusisha na maswala ya siasa
Kukemea ni kama maaskofu wa TEC Pale wamekemea
Hawa maaskofu wa kkkt wanajihusisha moja kwa moja na siasa
Mpaka wanaendesha migomo ya mikataba
 
Akichangia mjadala katika Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, Askofu wa Kanisa la Moravian Revival Church, Emmaus Mwamakula amesema kuwa kuna vyuo vikuu nchini vinashindwa kuandaa viongozi wa baadae badala yake kuzalisha wahitimu wanaojipendekeza kwa wanasiasa na kuona Siasa ni ajira

Amesema hayo Septemba 14, 2024 katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Demokrasia yaliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Demokrasia (NDI) kutoka Marekani iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Askofu Mwamakula amesema "Hakuna mijadala tena kwenye vyuo viku na hali imekuwa mbaya na hata wahadhiri kwenye vyuo vikuu wamekuwa chawa. Sasa kwa hali kama hii nchi yetu inakuwa mbaya sana,"
Uvccm kwa imekuwa kama ndio Kauli Mbiu.....vyuoni wanaamini wasipokuwa wanaccm hata mkopo hawapati.😂😂
 
Kuna kukumea na kuna kujihusisha na maswala ya siasa
Kukemea ni kama maaskofu wa TEC Pale wamekemea
Hawa maaskofu wa kkkt wanajihusisha moja kwa moja na siasa
Mpaka wanaendesha migomo ya mikataba
Narudia tena, maisha ya mwanadamu hapa duniani wanatawaliwa na siasa, hata dini zinaingiliwa na siasa na hilo halina ubishi. Hivyo hii habari ya eti kuna kuchanganya dini na siasa ni janga janga na ndiyo maana viongozi wa dini wanaojielewa ni lazima wafuatilie siasa kwa sababu ina madhara makubwa wa waumini wao.
 
Narudia tena, maisha ya mwanadamu hapa duniani wanatawaliwa na siasa, hata dini zinaingiliwa na siasa na hilo halina ubishi. Hivyo hii habari ya eti kuna kuchanganya dini na siasa ni janga janga na ndiyo maana viongozi wa dini wanaojielewa ni lazima wafuatilie siasa kwa sababu ina madhara makubwa wa waumini wao.
Viongozi wa dini wenyewe
Miongoni mwao kuna machawa
Miongoni mwao kuna matapeli
Kwan kuna maaskofu wangapi walikuwa bungeni chini ya CCM na bado wanatetea upuuzi licha ya kuwa ni Viongozi wa dini
 
Viongozi wa dini wenyewe
Miongoni mwao kuna machawa
Miongoni mwao kuna matapeli
Kwan kuna maaskofu wangapi walikuwa bungeni chini ya CCM na bado wanatetea upuuzi licha ya kuwa ni Viongozi wa dini
Let's agree to disagree...kila mtu ashinde mechi zake...
 
Back
Top Bottom