Askofu Mwamakula: Hata sisi tunaowatetea CHADEMA tukigundua kuwa kuna ufinyaji wa haki mle ndani hatutawatetea tena

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,413
3,653
Wakuu,

Akiwa anazungumza hivi karibuni kwenye mazungumzo yake ya moja kwa moja na Jambo TV, Askofu Mwamakula amezungumzia mchakato wa Uchaguzi unaoendelea kwa sasa ndani ya CHADEMA

Askofu Mwamakula amesema kuwa hata wao ambao hujitokeza pale ambapo CHADEMA wanateswa, wakiona kuwa kuwa mchakato wao wa Uchaguzi una uonevu basi hawatawatetea tena

 
Rushwa, mkono wa Asante, posho zisizo na kichwa wala miguu HUPOFUSHA, KWELI HUFINYWA, HAKI HUONDOSHWA, WALE WA KUSEMA KWELI HUSEMA UONGO!
 
Wakuu,

Akiwa anazungumza hivi karibuni kwenye mazungumzo yake ya moja kwa moja na Jambo TV, Askofu Mwamakula amezungumzia mchakato wa Uchaguzi unaoendelea kwa sasa ndani ya CHADEMA

Askofu Mwamakula amesema kuwa hata wao ambao hujitokeza pale ambapo CHADEMA wanateswa, wakiona kuwa kuwa mchakato wao wa Uchaguzi una uonevu basi hawatawatetea tena

View attachment 3177917
Mbona amechelewa sana baba askofu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu,

Akiwa anazungumza hivi karibuni kwenye mazungumzo yake ya moja kwa moja na Jambo TV, Askofu Mwamakula amezungumzia mchakato wa Uchaguzi unaoendelea kwa sasa ndani ya CHADEMA

Askofu Mwamakula amesema kuwa hata wao ambao hujitokeza pale ambapo CHADEMA wanateswa, wakiona kuwa kuwa mchakato wao wa Uchaguzi una uonevu basi hawatawatetea tena

View attachment 3177917
Muongo huyo maji yamemfika kooni mfuasi wa Mbogwe huyo
 
Ila wajumbe wa mkutano mkuu watakuwa ni watu wajinga sana wasiofaa ktk jamii wakimchagua tena Mbowe kuwa mwenyekiti!!.
 
Back
Top Bottom