Wazaramo ni mijitu mipumbavu sana. Wanawaza majungu majungu tu. Hapa lazima George Fupe na wapumbavu wenzake wanahusikaMimi nahisi kutakuwa na maadui wa Askofu wanamwonea wivu,au kama vipi shoo si ahamie Dar tu
Du Mkuu,nimeogopa! George Fupe!????Wazaramo ni mijitu mipumbavu sana. Wanawaza majungu majungu tu. Hapa lazima George Fupe na wapumbavu wenzake wanahusika
Fupe ni nani? Kabila lake ni mzaramo? Jerry Moro aliwananga wazaramo mkasema ohh, ohWazaramo ni mijitu mipumbavu sana. Wanawaza majungu majungu tu. Hapa lazima George Fupe na wapumbavu wenzake wanahusika
Fupe si ndio msaidizi wa Askofu?ila wanadamu jamaniWazaramo ni mijitu mipumbavu sana. Wanawaza majungu majungu tu. Hapa lazima George Fupe na wapumbavu wenzake wanahusika
miFupe ni nani? Kabila lake ni mzaramo? Jerry Moro aliwananga wazaramo mkasema ohh, oh
Kampeni za Fupe kumtoa Malasusa zilianza siku nyingi kabla ya uchaguzi mkuu wa Dayosis. Akishirikiana na Rostam Aziz na Marehemu Mchungaji Mtikila pamoja na aliyekuwa mchungaji wa Magomeni Mviringo Mchungaji Mokola wamepiga kampeni chafu ya kikabila kumtoa Malasusa kihuni. Rostam anaingiaje??! Jambazi huyo alitoa kinanda cha 50M usharika wa Kinondoni. Mzee Sitta pamoja na kundi la wazee wa kanisa walipiga kelele ni kwanini 'fisadi' akubalike kanisani na zawadi yake. Malasusa aliposikia hilo aliamuru kinanda kirudishwe na fedha pia zirudishwe kwa Rostam. Pale ndipo ilipoanza 'vita'. Katika Ibada ya ufunguzi wa kanisa mitaa ya Kipawa karibu na uchaguzi mkuu, Askofu Malasusa bila kupepesa macho aliwachana mafisadi na ufisadi wao na kuwaambia waumini waliokuwepo pale kuwa wasiwachague na Mali zao hazihitajiki kanisani. Moto ukazidi...yapo maneno yanasemwa aliwekewa sumu kwenye sherehe nyingine iliyofuata baada ya hiyo na wasamaria wema wakamshtua akiwa kwenye foleni kwenda kujisevia. Wakati wote huo Fupe na kikundi chake cha wachungaji wapumbavu wa Kizaramo walishaanza fitna zao ili Malasusa akose Moral Authority kugombea. Wakitumia magazeti yaliyo chini ya Habari Corporation walimchafua sana Malasusa. Ieleweke kuwa Fupe alitaka sana kuwa Askofu ili airudishe dayosisi yao kama ilivyokuwa kwa Jerry Mungwamba. Aka-team up na Rostam kumwangusha Malasusa kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Bagamoyo. Ilitembea rushwa ya hatari wakati wa uchaguzi. Askofu Buberwa aliyealikwa kwenye uchaguzi huo kama Mwangalizi na Mwakilishi wa Mkuu wa Manisa alitoa speech iliyommaliza kabisa Fupe. Hatimaye Malasusa akashinda. Vita haijaisha hata baada ya Fupe kustaafu...Fupe si ndio msaidizi wa Askofu?ila wanadamu jamani
Sasa mnawachanganya mara Shoo mara Fupe. Kubeneatolar amegeuka kuwa Lucifer wa kanisa? Nawaonya hawa vijana. Mnatafuta njia ya kuwatoa watanzania Kwenye mambo ya msingi ya kuweka m mtazamo kwe siasa na uchumi / maendeleo ya nchi hii mnawaelekeza kanisani kkkt. Kanisa halitabommoka jipangeni upya.Si angekana kisha ndio akamuachia Mungu, Hata ikija kugundulika kuwa ni Kweli atasema ndio maana nilisema namuachia Mungu.
Wazaramo ni mijitu mipumbavu sana. Wanawaza majungu majungu tu. Hapa lazima George Fupe na wapumbavu wenzake wanahusika
Kampeni za Fupe kumtoa Malasusa zilianza siku nyingi kabla ya uchaguzi mkuu wa Dayosis. Akishirikiana na Rostam Aziz na Marehemu Mchungaji Mtikila pamoja na aliyekuwa mchungaji wa Magomeni Mviringo Mchungaji Mokola wamepiga kampeni chafu ya kikabila kumtoa Malasusa kihuni
Mimi nahisi kutakuwa na maadui wa Askofu wanamwonea wivu,au kama vipi shoo si ahamie Dar tu
Kampeni za Fupe kumtoa Malasusa zilianza siku nyingi kabla ya uchaguzi mkuu wa Dayosis. Akishirikiana na Rostam Aziz na Marehemu Mchungaji Mtikila pamoja na aliyekuwa mchungaji wa Magomeni Mviringo Mchungaji Mokola wamepiga kampeni chafu ya kikabila kumtoa Malasusa kihuni. Rostam anaingiaje??! Jambazi huyo alitoa kinanda cha 50M usharika wa Kinondoni. Mzee Sitta pamoja na kundi la wazee wa kanisa walipiga kelele ni kwanini 'fisadi' akubalike kanisani na zawadi yake. Malasusa aliposikia hilo aliamuru kinanda kirudishwe na fedha pia zirudishwe kwa Rostam. Pale ndipo ilipoanza 'vita'. Katika Ibada ya ufunguzi wa kanisa mitaa ya Kipawa karibu na uchaguzi mkuu, Askofu Malasusa bila kupepesa macho aliwachana mafisadi na ufisadi wao na kuwaambia waumini waliokuwepo pale kuwa wasiwachague na Mali zao hazihitajiki kanisani. Moto ukazidi...yapo maneno yanasemwa aliwekewa sumu kwenye sherehe nyingine iliyofuata baada ya hiyo na wasamaria wema wakamshtua akiwa kwenye foleni kwenda kujisevia. Wakati wote huo Fupe na kikundi chake cha wachungaji wapumbavu wa Kizaramo walishaanza fitna zao ili Malasusa akose Moral Authority kugombea. Wakitumia magazeti yaliyo chini ya Habari Corporation walimchafua sana Malasusa. Ieleweke kuwa Fupe alitaka sana kuwa Askofu ili airudishe dayosisi yao kama ilivyokuwa kwa Jerry Mungwamba. Aka-team up na Rostam kumwangusha Malasusa kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Bagamoyo. Ilitembea rushwa ya hatari wakati wa uchaguzi. Askofu Buberwa aliyealikwa kwenye uchaguzi huo kama Mwangalizi na Mwakilishi wa Mkuu wa Manisa alitoa speech iliyommaliza kabisa Fupe. Hatimaye Malasusa akashinda. Vita haijaisha hata baada ya Fupe kustaafu...
Tatizo wachagga wa Dar wanataka kukamata DMPMimi nahisi kutakuwa na maadui wa Askofu wanamwonea wivu,au kama vipi shoo si ahamie Dar tu