Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 790
- 1,669
Askofu Bagonza aeleza namna 4R za Rais Samia Suluhu Hassan zilizotekwa na baadhi ya watu kwa kushindwa kuzifuata kama alivyokuwa akitaka Rais zifuatwe.
Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Aidha amesema Watu wanatekwa na kupotea kama sindano Nchini mtu akiwa ametoa maoni yake tu, na kufikia hatu kuifanya nchi kuonekana ya magaidi.
Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Aidha amesema Watu wanatekwa na kupotea kama sindano Nchini mtu akiwa ametoa maoni yake tu, na kufikia hatu kuifanya nchi kuonekana ya magaidi.