Askari afa kwenye ajali ya gari njia ya Chanika. Alikuwa kwenye gari dogo lagongwa na daladala

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
18,260
34,248
Ajali imetokea maeneo ya Kisumo( katikati ya Gongo la mboto na Pugu)

Daladala( minibus) la Chanika to Machinga Complex laacha njia ( inasemekana lilikuwa linatanua) na kugongana uso kwa uso na gari ndogo ambayo ilikuwa imepaki pembeni ya barabara na ambalo ndani yake alikuwemo askari mwenye cheo kikubwa. Tetesi zinasema ni OCD wa Chanika..

Alie toa taarifa anasema ameshindwa kupiga picha kwa sababu askari walio jaa eneo la tukio walikuwa wanazuia watu kupiga picha.

Inna Lilahi.....
 
Apumzike salama mlinzi wetu wa raia na mali zao. Ameondoka akilitumikia taifa lake 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

20250221_111902.jpg
 
Kifo siyo karma ingekua ni karma basi wewe ungeweza kukikwepa kikawakuta wabaya wako tu, lakini mbona kinapita na wabaya wako na wewe kinakurudia? Au ndo itakua Karma kwasababu umecheka kifo cha mwenzako
Karma inasingiziwa tu, watu wanamkwepa Allah kwa sababu Allah ana maamrisho kaamrisha hawataki kuyafata, na Kuna makatazo kakataza hawataki kuacha, ndo wamerukia eti Kuna karma, karma hiyo au huyo hana amri Wala hana anachokataza Bali yeye ni wakulipia watu visasi tu, Upuuzi, Anayeendesha Dunia na mambo yote ni Allah na tumeletwa Ili tuabudu tu, mengine ni kutafta rizki tu hukubali subiri utaona kwa macho Yako mwenyewe
 
Karma inasingiziwa tu, watu wanamkwepa Allah kwa sababu Allah ana maamrisho kaamrisha hawataki kuyafata, na Kuna makatazo kakataza hawataki kuacha, ndo wamerukia eti Kuna karma, karma hiyo au huyo hana amri Wala hana anachokataza Bali yeye ni wakulipia watu visasi tu, Upuuzi, Anayeendesha Dunia na mambo yote ni Allah na tumeletwa Ili tuabudu tu, mengine ni kutafta rizki tu hukubali subiri utaona kwa macho Yako mwenyewe
Fact
 
Back
Top Bottom