Mashirika ya Civil Society ya Tanzania, Jumatano wiki hii yalitangaza rasmi kuanza KAMPENI ya MWAKA MZIMA dhidi ya Serikali ya Magufuli inayolaumiwa dhidi ya UKANDAMIZAJI wa Demokrasia.
Mashirika hayo yanadai, serikali ya Rais Magufuli imeondoa UHURU uliokuwepo ulioachwa na WATANGULIZI wake.
Tanzania Legal and Human rights Centre, moja ya mashirika hayo limenakiliwa likisema
" Bila UHURU wa KUJIELEZA na uhuru wa KUKUSANYIKA Tanzania hakuwezi kuwa na MAENDELEO".
Katika kampeni zao sitahusisha SEMINA, MIJADALA, na DEBATE.
Rais Magufuli amekuwa akilaumiwa kwa kutumia NGUVU, na UKANDAMIZAJI ikiwa ni pamoja na KUPITISHA sheria ambazo ZINAZUIA fundamental rights/ HAKI za KIMSINGI.
Moja ya sheria hizo ni ile ya mwaka 2016,
Media Service Act. Ambayo inaweka vizuizi kwa WAANDISHI wa Habari, Bloggers na WATUMIAJI wa MITANDAO ya KIJAMII ambayo ingali iko mahakamani ikipingwa.
Mashirika hayo yanadai kumekuwa na ukandamizaji aina MBILI.
Moja ni kutoka SERIKALINI na pili, POLISI.
Hivi vyote ni katika kuzuia watu WASIKUSANYIKE.
Mashirika hayo yanasema MIKUSANYIKO YA AMANI ni lazima IRUHUSIWE. Ili watu waweze kuchangamana.
Hili litasadia KUBADILISHANA MAWAZO, MAONI, kuhusu issues za MAISHA yao.
Inadaiwa rais Magufuli ameonyesha kutokuwa na UVUMILIVU hasa katika MAONI yanayoonekana KUTOFAUTIANA NAYE.
CHANZO:
Shirika la habari la AFP
Alikwambia????eti na magufuli nae anatamani kuipata tuzo ya MO IBRAHIM,thubutuuu!!!! Utaishia kuisikia tuu
Mashirika 8, bahati mbaya nimeona moja tu hapo mkuu. Mengine saba sijayaona, tupia mkuu ama wasiliana na AFP tuyaone.Mashirika ya Civil Society ya Tanzania, Jumatano wiki hii yalitangaza rasmi kuanza KAMPENI ya MWAKA MZIMA dhidi ya Serikali ya Magufuli inayolaumiwa dhidi ya UKANDAMIZAJI wa Demokrasia.
Mashirika hayo yanadai, serikali ya Rais Magufuli imeondoa UHURU uliokuwepo ulioachwa na WATANGULIZI wake.
Tanzania Legal and Human rights Centre, moja ya mashirika hayo limenakiliwa likisema
" Bila UHURU wa KUJIELEZA na uhuru wa KUKUSANYIKA Tanzania hakuwezi kuwa na MAENDELEO".
Katika kampeni zao sitahusisha SEMINA, MIJADALA, na DEBATE.
Rais Magufuli amekuwa akilaumiwa kwa kutumia NGUVU, na UKANDAMIZAJI ikiwa ni pamoja na KUPITISHA sheria ambazo ZINAZUIA fundamental rights/ HAKI za KIMSINGI.
Moja ya sheria hizo ni ile ya mwaka 2016,
Media Service Act. Ambayo inaweka vizuizi kwa WAANDISHI wa Habari, Bloggers na WATUMIAJI wa MITANDAO ya KIJAMII ambayo ingali iko mahakamani ikipingwa.
Mashirika hayo yanadai kumekuwa na ukandamizaji aina MBILI.
Moja ni kutoka SERIKALINI na pili, POLISI.
Hivi vyote ni katika kuzuia watu WASIKUSANYIKE.
Mashirika hayo yanasema MIKUSANYIKO YA AMANI ni lazima IRUHUSIWE. Ili watu waweze kuchangamana.
Hili litasadia KUBADILISHANA MAWAZO, MAONI, kuhusu issues za MAISHA yao.
Inadaiwa rais Magufuli ameonyesha kutokuwa na UVUMILIVU hasa katika MAONI yanayoonekana KUTOFAUTIANA NAYE.
CHANZO:
Shirika la habari la AFP
Katika maisha yangu kama kuna jambo ambalo sijawahi kulielwa ni hili linaloitwa Uhuru wa kujieleza, binafsi sijawahi kunyimwa Uhuru wa kujieleza hapa TZ tangu nizaliwe, na wala sijawahi kukamatwa au kuulizwa chochote kwa kujieleza kwangu, na watu walionizunguka hivyo hivyo hakuna hata mmoja aliyewahi kuadhibiwa kwa kujieleza kwake, sasa sielewi, unaweza labda kuniweka sawa hapa mnamaanisha nini?
Anatamani kuwa IGPAlikwambia????
Kwa sababu unabishana na mkeo kitandani basi unadhani una uhuru wa kuongea!! Bull shit!!Katika maisha yangu kama kuna jambo ambalo sijawahi kulielwa ni hili linaloitwa Uhuru wa kujieleza, binafsi sijawahi kunyimwa Uhuru wa kujieleza hapa TZ tangu nizaliwe, na wala sijawahi kukamatwa au kuulizwa chochote kwa kujieleza kwangu, na watu walionizunguka hivyo hivyo hakuna hata mmoja aliyewahi kuadhibiwa kwa kujieleza kwake, sasa sielewi, unaweza labda kuniweka sawa hapa mnamaanisha nini?
Kwa sababu unabishana na mkeo kitandani basi unadhani una uhuru wa kuongea!! Bull shit!!
Katika maisha yangu kama kuna jambo ambalo sijawahi kulielwa ni hili linaloitwa Uhuru wa kujieleza, binafsi sijawahi kunyimwa Uhuru wa kujieleza hapa TZ tangu nizaliwe, na wala sijawahi kukamatwa au kuulizwa chochote kwa kujieleza kwangu, na watu walionizunguka hivyo hivyo hakuna hata mmoja aliyewahi kuadhibiwa kwa kujieleza kwake, sasa sielewi, unaweza labda kuniweka sawa hapa mnamaanisha nini?