Are they legally binded?

Mzazi sio mjinga, nahisi na yeye alishapitia mtiti wa PCB, tuliosoma hii combination tunajua mtiti wa hii kitu, hao mtoto labda atoboe kwenye BAM
 
hii kitu hakuna saini ya shahidi, dingi lazima aruke mtiti, mtoto anapiga A zote, alafu kesho yake asubuhi dingi anashituswa na majaliwa anafanya ziara ya kushitukiza ofisini kwa dingi na ghafla maji yana zidi unga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…