Transcend JF-Expert Member Jan 2, 2015 20,548 63,038 Jan 18, 2016 #1 Ngoja atie mabanda yote sasa kama hajapata mtaji...
Pancras Suday JF-Expert Member Jun 24, 2011 8,141 3,838 Jan 18, 2016 #2 Mzazi sio mjinga, nahisi na yeye alishapitia mtiti wa PCB, tuliosoma hii combination tunajua mtiti wa hii kitu, hao mtoto labda atoboe kwenye BAM
Mzazi sio mjinga, nahisi na yeye alishapitia mtiti wa PCB, tuliosoma hii combination tunajua mtiti wa hii kitu, hao mtoto labda atoboe kwenye BAM
GIUSEPPE JF-Expert Member Dec 31, 2011 5,239 6,225 Jan 19, 2016 #4 hii kitu hakuna saini ya shahidi, dingi lazima aruke mtiti, mtoto anapiga A zote, alafu kesho yake asubuhi dingi anashituswa na majaliwa anafanya ziara ya kushitukiza ofisini kwa dingi na ghafla maji yana zidi unga.
hii kitu hakuna saini ya shahidi, dingi lazima aruke mtiti, mtoto anapiga A zote, alafu kesho yake asubuhi dingi anashituswa na majaliwa anafanya ziara ya kushitukiza ofisini kwa dingi na ghafla maji yana zidi unga.