Application Bora ya Alama za Barabarani

Barabarani

Member
Sep 27, 2017
19
8
205a5d0a16f85a052b91672f978a2700.jpg
b740cf72d05aacaf102f26d2ab8bdc70.jpg


Alama za Barabarani Quiz Application ni Application ya simu inayokuwezesha kujifunza kuhusu ALAMA na kanuni za USALAMA BARABARA NI.

Trial/free version Ipo Play Store na App Store:
Alama Barabarani Quiz Lite on the App Store

PlayStore: Alama Barabarani Quiz Lite – Програми Android у Google Play

Ni nzuri hasa kwa wanaosomea leseni ya udereva pamoja na waliofuzu udereva wanaopenda kuendelea kuimarisha ufahamu wao na kujikumbusha wajibu wa kila siku unapokuwa barabarani. Kwa kufahamu maana na wajibu unaoambatana na kila Alama, utafahamu pia haki zako na kuepuka kulipishwa faini usizostahili.

App hii imetengenezwa kitaaluma kwa ajili kusaidia kujifunza kuhusu usalama barabarani kwa namna ya kitaalam (pedagogic) na ya kufurahiha, na inayojumuisha maswali ya kufikirisha na kuchangamsha pamoja na ChemshaBongo.

* Application ina vitu vifuatavyo:

» Alama na Michoro yote ya Barabarani
» Maelezo yanayojitosheleza
» Maswali kujenga ufahamu wako
» Makundi mbalimbali ya Alama za Barabarani
» ChemshaBongo kupima uelewa wako na kuongeza ujuzi
» Uwezo wa kutafuta alama yoyote unayotaka
» Picha za Ubora wa hali ya juu
» Michoro nadhifu!
» Maswali bila ukomo
» Hakuna matangazo yanayokera
» Ipo kwa Android na iOS.
» Hakuna ada za siri
» Huduma kwa wateja kupitia barua pepe.
» Maelezo kwa Kiswahili!!!

«»»»»»»»»»»»»»»»»»»»»»»
ALAMA NA MAELEZO YAKE yametolewa kwenye maelekezo na taarifa za WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI & MAWASILIANO.

Epuka Ajali. Jifunze Alama za Barabarani!!
 
Aisee juzi kuna mtu ameniuliza alama ya "S" inamaana gani nimeshindwa kujua huko mnaitumia vipi...?

nasikia ni mpya huko imekuja baada ya barabara za mwendokasiii
 
Aisee juzi kuna mtu ameniuliza alama ya "S" inamaana gani nimeshindwa kujua huko mnaitumia vipi...?

nasikia ni mpya huko imekuja baada ya barabara za mwendokasiii


“S” maana yake ni “Stop” na huwekwa hasa kwenye barabara za basi (bus lane). Huwa ni “ishara” (light signal) lakini pia kuna vibao vya “no stopping” vyenyee S iliyokatizwa na mstari.
Pakua hiyo application upate maelezo ya Alama, Ishara na Michoro ya barabarani.
519c3486dfbd1db4609cd58100f65c93.jpg
 
Nzuri mkuu ila mgerekebisha coding zenu coz nimeona ina MB 395 kama sijakosea ,wakati app za kawaida simu za android ni <50MB, pia ram nyingi kwa simu za android ni 500MB au GB 1 otherwise congratulations kwa juu ubunifu...I like it
 
Nzuri mkuu ila mgerekebisha coding zenu coz nimeona ina MB 395 kama sijakosea ,wakati app za kawaida simu za android ni <50MB, pia ram nyingi kwa simu za android ni 500MB au GB 1 otherwise congratulations kwa juu ubunifu...I like it

Thanks mkuu. App yetu kwa Android devices ni MB 23 tu kwa IPhones ni MB 27 tu na zipo fast. Kama unaweza nitumie screenshoot yake tuangalie hitafu ipo wapi maana mb385 ni hatari kupita kiasi kwa Mobile app!!
Hebu cheki vizuri. Pia unaweza kutuma message kwa Facebook.com/alamazabarabarani
 
Mkuu inagoma inahitaji mb space 356

Thanks mkuu kwa mrejesho. App haizidi MB 27 kwa platforms zote. Ni app ndogo na nyepesi kupita kiasi.Kama inawezekana tupia screenshots hapa tu one inasemaje. Itatusaidia kujua tatizo lipo wapi. Umeangalia kama simu yako ina space ya kutosha?
Ps: kumbuka pia full version ni sh 4000tu.
 
yaan hadi alama za barabaran mnataka mtucharge hela?? Tungeni zenu sio kucopy na kupaste alafu mnataka hela za burebure

Mkuu Issa hiyo app ya mafundisho.
Ni kozi kama kozi zinginezo. Nafikiri ingekuwa vizuri kutambua kuwa hiyo ni sawa na bure ukizingatia gharama za kutafiti kila alama, kutengeneza app na kuilipia iwe published google store/App Store.
 
Salaam.

Hivi hii application bado inapatikana play store?
Nimechoshwa na hizi faini zisizo na vichwa wala miguu
 
Back
Top Bottom