Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 59,999
- 104,333
Wanabodi huwa sina kawaida ya kupopy mabandiko ya watu huko Facebook na kuyaleta hapa, ila alichoandika leo RC wa Simiyu rafiki yangu Anthony Mtaka kimenigusa na kuona nilete hapa maandiko yake huwenda yakawaponya wale wenye viburi wapo humu na wanajijuwa vyema.
Anaandika Anthony Mtaka......
NIWAKUMBUSHE TU KWAMBA CHEO NI DHAMANA,WALIKUWEPO KABLA YETU NA WATAKUJA BAADA YETU-MAISHA NA LUGHA ZA Mh.Mbunge wa Mbozi(wakati wa uongozi wa awamu ya tatu) ENZI NIKISOMA CHUO CHA UALIMU MARANGU KWA MKUU WETU WA CHUO WA WAKATI HUO Israel Eliamringi- ZILINIFUNZA SANA MPAKA LEO.(Mlio na Dhamana epukeni sana kubeba hivi vyeo mabegani(Nimewaza tu kwa sauti nikiwa Hapa GAMBOSHI BARIADI)
Sasa huyu wa kutumia cheti cha mwenzake tunamuweka wapi? Maana anakelele, majigambo na kiburi utadhani ana Phd kama ya dereva wa roliAntony mtaka Jamaa anapiga kazi sana halafu kimya kimya!
Nilishawahi kusikiliza Mara moja nilimuelewa sana
Heri kufa ukiwa unasimamia unachokiamini kuliko kuishi usichokiamini, bora mara elfu akafutwa cheo lakini akabaki kuishi anachokiamini kuliko kuishi asichokiamini.Panaweza pasikuche.Haya maandishi ya hivi,mi nilijifunza kwa Nape Nnauye
Alisema usiku,asubuhi kulipokucha ikawa nyuma geuka!!
Gambo na Bashite sio wao,ni "nguvu" ya nyuma yao
Muda ni mwalimu wa kweli, umemfunza Nape, sasa hakuna matusi wala vijembe, anaishi kama malaikanape alianza kusifiwa hivi, sasa amekuwa mkweli hadi shetani anashangaa
Mungu huwa hamtumi mwana wa Mungu, tena kwa Anthony Mtaka na kisingizio wanacho ni Rais wa chama au shirikisho la riadha Tanzania, usishangae kuambiwa tumempunguzia majukumu ili aweze kusimamia maendeleo ya riadha kwa ufanisi, hawanaga aibu hawa hata kidogo, wanataka uwe mtu ambaye mshipa wa aibu umekufa kama wa Mwakyembe.Huyu haiwezi kasi ya Magufuli , akimaliza wiki akabatizwe upya , awamu ya 5 inataka RC anayepambana na wananchi , inataka RC atakayeamuru bomu lipigwe sokoni .
Awamu ya misukule isiyo na chembe ya aibuMungu huwa hamtumi mwana wa Mungu, tena kwa Anthony Mtaka na kisingizio wanacho ni Rais wa chama au shirikisho la riadha Tanzania, usishangae kuambiwa tumempunguzia majukumu ili aweze kusimamia maendeleo ya riadha kwa ufanisi, hawanaga aibu hawa hata kidogo, wanataka uwe mtu ambaye mshipa wa aibu umekufa kama wa Mwakyembe.
Kama nakuona vile!! Jinsi kimdomo kilivyochongoka kwa kiherehere!Kupigiana debe naona kumeanza, kama anatenda kazi aliyopewa vizuri atabakishwa kama hatendi ni bye bye.
Huyu naye ataomba kustaafu muda siyo mrefu.Wanabodi huwa sina kawaida ya kucopy mabandiko ya watu huko Facebook na kuyaleta hapa, ila alichoandika leo RC wa Simiyu rafiki yangu Anthony Mtaka kimenigusa na kuona nilete hapa maandiko yake huwenda yakawaponya wale wenye viburi wapo humu na wanajijuwa vyema walivyoota mapembe.
Anaandika Anthony Mtaka......
NIWAKUMBUSHE TU KWAMBA CHEO NI DHAMANA,WALIKUWEPO KABLA YETU NA WATAKUJA BAADA YETU-MAISHA NA LUGHA ZA Mh.Mbunge wa Mbozi(wakati wa uongozi wa awamu ya tatu) ENZI NIKISOMA CHUO CHA UALIMU MARANGU KWA MKUU WETU WA CHUO WA WAKATI HUO Israel Eliamringi- ZILINIFUNZA SANA MPAKA LEO.(Mlio na Dhamana epukeni sana kubeba hivi vyeo mabegani(Nimewaza tu kwa sauti nikiwa Hapa GAMBOSHI BARIADI)
Mimi nimpigie debe mtu wa ccm nina wazimu? Anthony Mtaka ndio RC pekee anayejuwa Tanzania ya viwanda inahitaji uwezeshaji wa aina gani, hakika Simiyu wamepata kiongozi na zuri zaidi hana kelele wala siyo attention seeker wa media.Kupigiana debe naona kumeanza, kama anatenda kazi aliyopewa vizuri atabakishwa kama hatendi ni bye bye.