figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,720
- 55,852
Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM wanaendelea kuonesha Makali.
Walianza na Baiskeli, wakaja Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 -0 UKAWA
Walianza na Baiskeli, wakaja Pikipiki sasa ni Magari.
Matamanio yangu ni kuona Makali ya CHADEMA.
Je, Mbowe akishindwa, atampa Chopa Lissu apepeee?
Tunasubiri Makali ya UKAWA.
SAMIA 3 -0 UKAWA