Ena kambaku, ghwajughaKutafuta mwanamke kwa ajili ya mahusiano tena hutaki ndoa kisha unasema asiwe tegemezi kwako ni kupoteza muda wako tu.
Unaenda kuuliza bikira kwenye wadi ya labour. Haviendagi pamoja hivyo vitu kamwe!
Hahhaa, anatakiwa shangaziumri haupungui ndugu yangu
Ukipata wawili nipe mmojaHabari, natafuta mwanamke wa umri 35-45 , kwa ajili ya uhusiano wa kimapenzi na si ndoa. Niko Dar es salaam. Karibu tupate muda wa kufurahia maisha pamoja. Usiwe tegemezi!
HahhaaUkipata wawili nipe mmoja
Daaah sawaHahhaa, anatakiwa shangazi
Umeshapata usijaliHabari, natafuta mwanamke wa umri 35-45 , kwa ajili ya uhusiano wa kimapenzi na si ndoa. Niko Dar es salaam. Karibu tupate muda wa kufurahia maisha pamoja. Usiwe tegemezi!
Hujui unachokisakanya humu..Karibu tupate muda wa kufurahia maisha pamoja. Usiwe tegemezi!
Watasema tafuta hela wewe....Usiwe tegemezi!
Unataka mgawaneUkipata wawili nipe mmoja
Umeshapata usijaliNa mimi pia natafuta mwanamke wa umri huo. Ila tu awe tegemezi.