Hasa mechi za Simba mpira haumalizai mpaka Simba wapewe penati wafunge.Sisi tunaongea huku tunacheka lakini hali ni mbaya, inawezekana tuko hapa tunasema waamuzi waongezewe ujuzi Kumbe wao nyuma wanabeti
Unaweza kushangaa goal ni offside ya wazi lakini mwamuzi anaacha kwasababu ameweka GG
-Amri kiemba-
Hatari ipo pale mchezaji hajaguswa inafunikwaHawa Simba ndiyo wa kuwaangalia kwa jicho la karibu.
Serikali ifunge kampuni za kubeti hapa Tanzania hata kama inaingiza kipato nchini ila ina hasara nyingi kuliko faida. Vijana wanaangamia kwaajili ya kubeti.Sisi tunaongea huku tunacheka lakini hali ni mbaya, inawezekana tuko hapa tunasema waamuzi waongezewe ujuzi Kumbe wao nyuma wanabeti
Unaweza kushangaa goal ni offside ya wazi lakini mwamuzi anaacha kwasababu ameweka GG
-Amri kiemba-
Tatzo vi timu vyenu vidogo ni vya hovyo, JKT Tanzania kaminya mbupu kwa Simba anafikiri kumaliza ligi ni kumfunga Simba tu, Jana watu wametoboa 3 baada ya kubongoa kiurainii.Hasa mechi za Simba mpira haumalizai mpaka Simba wapewe penati wafunge.
Duh!....na wake nao wamo🤣🤣🤣🤣Hadi wachezaji, Wanabet kupitia wake zao. Nina ushahidi
Hilo halishindikaniHadi wachezaji, Wanabet kupitia wake zao. Nina ushahidi
Var wamezifungia makusudi vinginevyo Aragija na. Kayoko wangeshafungiwaLigi kubwa duniani wanatumia VAR na goal line technology angalau makosa ya waamuzi yamepungua na sisi tuwekeze huko japo tuanze na VAR kuwasaidia waamuzi kufanya maamuzi tata wakati mchezo unaendelea, kuhusu waamuzi kubet hilo ni lakufikirika tu
Wewe ni mke wa huyo mchezaji anae bet?Hadi wachezaji, Wanabet kupitia wake zao. Nina ushahidi
Vijana huwa wanaangamia kivipi?Serikali ifunge kampuni za kubeti hapa Tanzania hata kama inaingiza kipato nchini ila ina hasara nyingi kuliko faida. Vijana wanaangamia kwaajili ya kubeti.
Kubeti inamfanya kijana asiweze kutambua fursa za kiuchumi zilizopo eneo husika na inafanya wasiwe wabunifu zaidi ya hayo inawaathiri kisaikolojia.Vijana huwa wanaangamia kivipi?