Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,144
- 1,990
Shirika la Haki Za Binadamu la Amnesty limesema Madagascar inafaa kuachana na Sheria mpya inayoruhusu kuhasiwa kwa kuchomwa sindano au kufanyiwa upasuaji kwa watu waliopatikana na hatia ya ubakaji wa watu wenye Umri wa chini ya Miaka 18 kwani ni "ya kikatili, ya kinyama na inayopunguza hadhi,"
Januari 2024, Rais Andry Rajoelina alipendekeza marekebisho katika kanuni ya jinai, ambayo inajumuisha kuhasiwa kwa kuchomwa sindano au kufanyiwa upasuaji kama adhabu kwa watu waliopatikana na hatia ya ubakaji dhidi ya watoto, mabadiliko ambayo yaliungwa mkono na Bunge
Taarifa ya Tigere Chagutah, Mkurugenzi wa Amnesty Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini imesema "Adhabu ya Kuhasiwa ambayo inachukuliwa kama ya kikatili, ya kinyama na inayopunguza hadhi, kwa wale waliopatikana na hatia ya ubakaji wa watoto haitatatua hali ya kutoripotiwa kwa Vitendo hivyo na ni kinyume na vipengele vya Katiba ya Madagascar dhidi ya mateso na matibabu mengine ya kinyama, pamoja na viwango vya kikanda na vya Kimataifa vya Haki za Binadamu"
===========
Abolish castration law - Amnesty urges Madagascar
Madagascar should abolish a new law which allows for the chemical and surgical castration of people convicted of raping minors as it was "cruel, inhuman and degrading", rights group Amnesty International has said.
Last month, President Andry Rajoelina proposed the amendments to the penal code - that include chemical and surgical castration as punishment for individuals found guilty of rape against minors.
These changes have since been agreed by MPs.
In a statement, Tigere Chagutah, Amnesty's regional director for east and southern Africa, said:
Quote Message: In Madagascar, rape cases remain under-reported, and perpetrators often go free due to the victims' and their families' fear of retaliation, stigmatisation, and a lack of trust in the judicial system.
Implementing chemical and surgical castration, which constitutes cruel, inhuman and degrading treatment, as a punishment for those found guilty of raping minors will not solve this and is inconsistent with Malagasy constitutional provisions against torture and other ill-treatment, as well as regional and international human rights standards."
Source: BBC
Januari 2024, Rais Andry Rajoelina alipendekeza marekebisho katika kanuni ya jinai, ambayo inajumuisha kuhasiwa kwa kuchomwa sindano au kufanyiwa upasuaji kama adhabu kwa watu waliopatikana na hatia ya ubakaji dhidi ya watoto, mabadiliko ambayo yaliungwa mkono na Bunge
Taarifa ya Tigere Chagutah, Mkurugenzi wa Amnesty Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini imesema "Adhabu ya Kuhasiwa ambayo inachukuliwa kama ya kikatili, ya kinyama na inayopunguza hadhi, kwa wale waliopatikana na hatia ya ubakaji wa watoto haitatatua hali ya kutoripotiwa kwa Vitendo hivyo na ni kinyume na vipengele vya Katiba ya Madagascar dhidi ya mateso na matibabu mengine ya kinyama, pamoja na viwango vya kikanda na vya Kimataifa vya Haki za Binadamu"
===========
Abolish castration law - Amnesty urges Madagascar
Madagascar should abolish a new law which allows for the chemical and surgical castration of people convicted of raping minors as it was "cruel, inhuman and degrading", rights group Amnesty International has said.
Last month, President Andry Rajoelina proposed the amendments to the penal code - that include chemical and surgical castration as punishment for individuals found guilty of rape against minors.
These changes have since been agreed by MPs.
In a statement, Tigere Chagutah, Amnesty's regional director for east and southern Africa, said:
Quote Message: In Madagascar, rape cases remain under-reported, and perpetrators often go free due to the victims' and their families' fear of retaliation, stigmatisation, and a lack of trust in the judicial system.
Implementing chemical and surgical castration, which constitutes cruel, inhuman and degrading treatment, as a punishment for those found guilty of raping minors will not solve this and is inconsistent with Malagasy constitutional provisions against torture and other ill-treatment, as well as regional and international human rights standards."
Source: BBC