Wadau,,,,kama kichwa kinavojieleza tunaomba yoyote ambae amewahi kupatwa na tatizo la nguvu za kiume na akapata tiba na akapona tunaomba atusaidie na namba ya aliemtibu ,,,, ahsanteni
www.jamiiforums.com
Unahitaji msaada mkubwa wa kisakolojia...naweza kukusaidia ukapona issue ya saikolojia..andaa fungu. Naona tatizo lako linaenda kumaliza mwaka tangu ulete uzi wa kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.