Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,449
- 3,736
Wasalaam
Hakika ni vigumu sana kuamini kama huyu mwamba mbowe anashirikiana na ccm watesi wa wanachadema. Kuna watu wamepoteza maisha kukipigania chama, na kuna watu ni vilema, mpaka leo Tundu lisu anatembea na risasi mwilini kwa sababu ya chadema.
Swali la kujiuliza ina maana muda wote huo mbowe anawala wenzie kisogo huku akishirikiana na watesi? Je kuna namna alihusika kushirikiana na ccm kuwapoteza na kuwaangamiza baadhi ya makada chadema? Yaani nawaza tu kwa sauti kubwa.
R.I.P Mzee wetu Ally Kibao mola akuepushe na adhabu ya kaburi.
Hakika ni vigumu sana kuamini kama huyu mwamba mbowe anashirikiana na ccm watesi wa wanachadema. Kuna watu wamepoteza maisha kukipigania chama, na kuna watu ni vilema, mpaka leo Tundu lisu anatembea na risasi mwilini kwa sababu ya chadema.
Swali la kujiuliza ina maana muda wote huo mbowe anawala wenzie kisogo huku akishirikiana na watesi? Je kuna namna alihusika kushirikiana na ccm kuwapoteza na kuwaangamiza baadhi ya makada chadema? Yaani nawaza tu kwa sauti kubwa.
R.I.P Mzee wetu Ally Kibao mola akuepushe na adhabu ya kaburi.