Aliyenyuma ya Feisal Salum Abdallah (Feitoto) hana huruma wala haoni aibu na hafai kabisa katika sekta ya mpira wetu

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,577
13,415
Nimekua nikifuatilia sana hili sakata la Feitoto kwa pande zote mbili, lakini nimegundua bwana mdogo kuna mtu nyuma yake akimrubuni na kumvimbisha kichwa bwana mdogo Feisal Salum.

Ukitazama clip aliyozungumza mama yake vyema, basi utagundua kuna mengi yaliyojificha nyuma ya pazia.

Ndiyo, kuna wajinga wapo nyuma ya hili sakata wakijitahidi kusuka mambo ili tu Feisal aondoke pasipo na mpangilio maalum ndani ya Yanga.

Lakini hao manjangu waliopo nyuma ya Feisal Salum wanachokifanya hawaoni kabisa kuwa wanaua kipaji cha bwana mdogo, kijana kinda kabisa ndani ya taifa letu hili lakini tu siyo kwamba taifa linamtegemea bali wanapoteza ndoto zake zinakwenda kufifia gizani hii ni hatari sana.

Nyie mliopo nyuma ya Feisal pamoja na wapiga kelele au wagonga ulimbo wachambuzi wa mchongo mnaopiga kelele juu ya Feisal na muangalie nyuma na mtambue kuwa huyu bwana mdogo kipaji chake kinazama gizani. Sasa sijui akipotea mtakuja tena kusema Yanga imempoteza Feisal?

NB: Feisal kula ugali kwa sukari ni propaganda tu zilizosetiwa na kikundi cha wapumbavu wasiopenda maendeleo ya football ndani ya nchi yetu, hakika mama yake na Feisal katumika vibaya.
 
Nimekua nikifuatilia sana hili sakata la Feitoto kwa pande zote mbili, lakini nimegundua bwana mdogo kuna mtu nyuma yake akimrubuni na kumvimbisha kichwa bwana mdogo Feisal Salum.

Ukitazama clip aliyozungumza mama yake vyema, basi utagundua kuna mengi yaliyojificha nyuma ya pazia.

Ndiyo, kuna wajinga wapo nyuma ya hili sakata wakijitahidi kusuka mambo ili tu Feisal aondoke pasipo na mpangilio maalum ndani ya Yanga.

Lakini hao manjangu waliopo nyuma ya Feisal Salum wanachokifanya hawaoni kabisa kuwa wanaua kipaji cha bwana mdogo, kijana kinda kabisa ndani ya taifa letu hili lakini tu siyo kwamba taifa linamtegemea bali wanapoteza ndoto zake zinakwenda kufifia gizani hii ni hatari sana.

Nyie mliopo nyuma ya Feisal pamoja na wapiga kelele au wagonga ulimbo wachambuzi wa mchongo mnaopiga kelele juu ya Feisal na muangalie nyuma na mtambue kuwa huyu bwana mdogo kipaji chake kinazama gizani. Sasa sijui akipotea mtakuja tena kusema Yanga imempoteza Feisal?

NB: Feisal kula ugali kwa sukari ni propaganda tu zilizosetiwa na kikundi cha wapumbavu wasiopenda maendeleo ya football ndani ya nchi yetu, hakika mama yake na Feisal katumika vibaya.
Said it all. Huyu si mwingine bali ni Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga.
 
Nimekua nikifuatilia sana hili sakata la Feitoto kwa pande zote mbili, lakini nimegundua bwana mdogo kuna mtu nyuma yake akimrubuni na kumvimbisha kichwa bwana mdogo Feisal Salum.

Ukitazama clip aliyozungumza mama yake vyema, basi utagundua kuna mengi yaliyojificha nyuma ya pazia.

Ndiyo, kuna wajinga wapo nyuma ya hili sakata wakijitahidi kusuka mambo ili tu Feisal aondoke pasipo na mpangilio maalum ndani ya Yanga.

Lakini hao manjangu waliopo nyuma ya Feisal Salum wanachokifanya hawaoni kabisa kuwa wanaua kipaji cha bwana mdogo, kijana kinda kabisa ndani ya taifa letu hili lakini tu siyo kwamba taifa linamtegemea bali wanapoteza ndoto zake zinakwenda kufifia gizani hii ni hatari sana.

Nyie mliopo nyuma ya Feisal pamoja na wapiga kelele au wagonga ulimbo wachambuzi wa mchongo mnaopiga kelele juu ya Feisal na muangalie nyuma na mtambue kuwa huyu bwana mdogo kipaji chake kinazama gizani. Sasa sijui akipotea mtakuja tena kusema Yanga imempoteza Feisal?

NB: Feisal kula ugali kwa sukari ni propaganda tu zilizosetiwa na kikundi cha wapumbavu wasiopenda maendeleo ya football ndani ya nchi yetu, hakika mama yake na Feisal katumika vibaya.
Mama yake katumikaje vibaya hebu fafanua

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
We unadhani Kuna ukweli wowote fei kula ugali na sukari
..
JamiiForums396177271.jpg
 
Aliyemchukua sure boy pia hafai kwenye soka letu
Sure Boy alishaifanyia makubwa Azam, na hivyo hakuwa na jipya. Mkataba wake ulibakia miezi michache!

Aliomba aondoke ili asajiliwe Yanga, baada ya kugundua hana jipya tena! (Ukumbuke Sure Boy, John Bocco, ni kati ya wachezaji wachache walioipandisha Azam ligi kuu) Na wala hakuwaficha viongozi wake! Yanga wakaweka dau la milioni 10, Azam wakagoma. Na yeye akagoma kuongeza mkataba mpya, na hivyo kwenda Yanga kama free agent.
 
Sure Boy alishaifanyia makubwa Azam, na hivyo hakuwa na jipya. Mkataba wake ulibakia miezi michache!

Aliomba aondoke ili asajiliwe Yanga, baada ya kugundua hana jipya tena! (Ukumbuke Sure Boy, John Bocco, ni kati ya wachezaji wachache walioipandisha Azam ligi kuu) Na wala hakuwaficha viongozi wake! Yanga wakaweka dau la milioni 10, Azam wakagoma. Na yeye akagoma kuongeza mkataba mpya, na hivyo kwenda Yanga kama free agent.
Kweli kabisa mkuu naunga hoja .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom