Mkuu fafanua vyema kuna Bush mtoto na Bush baba wote walikuwa Marais wa marekani...
baba mtu uyoMkuu fafanua vyema kuna Bush mtoto na Bush baba wote walikuwa Marais wa marekani...
Bush kama marais wengine wa zamani anatarajiwa kuhudhuria kuapishwa kwa rais mteule wa Marekani Donald Trump katika sherehe itakayofanyika siku ya Ijumaa.
bush ndo kavimba hivi bujibuji?
Rais mstaafu wa Marekani George HW Bush aliyekuwa amelazwa hospitalini huko mjini Texas tangu Jumamosi, amepelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi.
Baada ya kutibiwa ugonjwa wa homa ya mapafu, Bush mwenye umri wa miaka 92 sasa anaendelea vizuri.
Mke wake Barbara, amelazwa katiaka hospitali hiyo hiyo kama tahadhari kwa sababu ya uchovu.
Mbona unawa restisha mapema hivyo?wapumzike kwa furaha
Afya, uzima, umri, na siha ya binadamu viko mikononi mwa Muumba; binadamu hana control navyo hata chembe; ni majaliwa yake Mola. Hakuna "jitihada" alizofanya Mzee Mwinyi kuwa kama alivyo wala hakuna "kosa" alilofanya Bush kuwa kama alivyo. Ndio maana binadamu afe at 40, 50, 60, 70, 80, 90, 100, 110, or at any other age hakuna wa kulaumiwa wala kusifiwa kwa lolote - yote "anaachiwa" aliyeumba.Bush ana miaka 92 na anaonekana amechakaa
Mzee Mwinyi ana miaka 911/2 lakini anaonekana bado yuko fit.
sina maana ya kufa wapumzike hospitali kwa furaha uzee mzuri hasa ukiwa na mapesaMbona unawa restisha mapema hivyo?
sina maana ya kufa wapumzike hospitali kwa furaha uzee mzuri hasa ukiwa na mapesa
duh mi sitaki kuhukumu mkuu ila lazima afeAfe tuuu mapema..
Huyu katili alikua miongoni waliomsubia JFK..
Na ameua raia wengi kwenye utawala wake..