Pre GE2025 Aliyekuwa Mbunge, Keissy: Msichana wa miaka 14/15 anafaa kuolewa. Nilioa wangu akiwa na miaka 15. Hiyo ndio sheria ya Uislamu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,724
4,474
Wakuu,

Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.

Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa.

Keissy anasema kwamba hata yeye alimuoa mkewe ambaye kwa wakati huo alikuwa na miaka 15.

Nitashangaa huyu mpuuzi akirudi tena 2025 kama mbunge, tuna uhalalisha upedophile kwa visingizio vya dini utafikiri hatuna akili ya kupembanua vitu na kuona hiki kinafaa ama lah.

===

"Mimi kama muislamu, Uislamu unasema mwanamke akishavunja ungo anaweza kuolewa. Mimi kama muslamu naamini kwamba miaka 14, 15 mwanamke anafaa kuolewa. Mi mwenyewe nimemuoa mke wangu akiwa na miaka 15"




 
Hatumwelewi

KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE :cool: :cool: :cool: :cool: :cool: :cool: :cool: :cool: :cool: :cool: :cool: :cool: :cool: KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE
 
Kwa kuwa uilsmau umesema hivyo ndio lazima uguate hata kama kwa common sense ni upuuzi?!!!
 
Hawa tatizo wanatizama nyama wanazokuwa nazo watoto wa miaka 15 , anaona kabisa anafaa kuwekewa muhoga ..
Ila hawaangaliii akili za ndoa..
Yaani akili yao inawaza kuwa wanaweza ngono hawawazi hata upevushi wa akili za huyo mtoto kuhusu ndoa

Ndoa sio hayo ma ngono wanayowaza ndoa ni maisha lazima mtu akili iwe imekomaaa
 
Cost of Living in Uganda

MarketsEdit
Milk (regular), (1 liter)2,443.37 USh1,500.00-4,000.00
Loaf of Fresh White Bread (500g)4,498.48 USh2,500.00-6,000.00
Rice (white), (1kg)4,876.92 USh4,000.00-6,000.00
Eggs (regular) (12)6,517.19 USh4,800.00-12,000.00
Local Cheese (1kg)16,299.86 USh6,000.00-30,000.00
Chicken Fillets (1kg)17,421.05 USh8,099.04-29,389.29
Beef Round (1kg) (or Equivalent Back Leg Red Meat)15,086.96 USh13,000.00-18,000.00
Apples (1kg)9,902.90 USh5,000.00-15,000.00
Banana (1kg)5,334.21 USh3,000.00-8,099.04
Oranges (1kg)6,756.19 USh3,000.00-15,000.00
Tomato (1kg)5,444.55 USh3,000.00-10,000.00
Potato (1kg)5,186.69 USh2,000.00-10,000.00
Onion (1kg)6,255.12 USh3,000.00-10,000.00
Lettuce (1 head)3,571.43 USh1,500.00-6,000.00
Water (1.5 liter bottle)2,045.45 USh1,500.00-3,000.00
Bottle of Wine (Mid-Range)40,000.00 USh20,000.00-65,000.00
Domestic Beer (0.5 liter bottle)4,205.88 USh3,000.00-5,000.00
Imported Beer (0.33 liter bottle)7,192.31 USh4,000.00-14,694.64
Cigarettes 20 Pack (Marlboro)10,000.00 USh5,000.00-20,000.00

Transportation
Edit
One-way Ticket (Local Transport)3,000.00 USh2,000.00-5,000.00
Monthly Pass (Regular Price)135,000.00 USh0.00-173,913.04
Taxi Start (Normal Tariff)2,500.00 USh2,000.00-10,000.00
Taxi 1km (Normal Tariff)1,000.00 USh1,000.00-3,000.00
Taxi 1hour Waiting (Normal Tariff)15,000.00 USh5,000.00-25,000.00
Gasoline (1 liter)5,302.69 USh5,000.00-6,000.00
Volkswagen Golf 1.4 90 KW Trendline (Or Equivalent New Car)32,500,000.00 USh25,000,000.00-35,000,000.00
Toyota Corolla Sedan 1.6l 97kW Comfort (Or Equivalent New Car)32,900,000.00 USh30,000,000.00-37,500,000.00
Restaurants
Edit
Range
Meal, Inexpensive Restaurant
10,000.00 USh​
5,000.00-15,000.00
Meal for 2 People, Mid-range Restaurant, Three-course
90,000.00 USh​
60,000.00-150,000.00
McMeal at McDonalds (or Equivalent Combo Meal)
33,736.50 USh​
25,000.00-36,736.61
Domestic Beer (0.5 liter draught)
5,000.00 USh​
3,000.00-7,000.00
Imported Beer (0.33 liter bottle)
10,000.00 USh​
7,000.00-15,000.00
Cappuccino (regular)
9,667.94 USh​
6,000.00-15,000.00
Coke/Pepsi (0.33 liter bottle)
1,666.67 USh​
1,000.00-3,000.00
Water (0.33 liter bottle)
1,107.14 USh​
1,000.00-2,000.00




Utilities (Monthly)Edit
Basic (Electricity, Heating, Cooling, Water, Garbage) for 85m2 Apartment151,388.89 USh80,000.00-240,000.00
Mobile Phone Monthly Plan with Calls and 10GB+ Data54,466.67 USh30,000.00-100,000.00
Internet (60 Mbps or More, Unlimited Data, Cable/ADSL)257,777.78 USh120,000.00-500,000.00

Sports And Leisure
Edit
Fitness Club, Monthly Fee for 1 Adult148,750.00 USh75,000.00-240,000.00
Tennis Court Rent (1 Hour on Weekend)19,000.00 USh10,000.00-36,000.00
Cinema, International Release, 1 Seat23,500.00 USh18,000.00-40,000.00

Childcare
Edit
Preschool (or Kindergarten), Full Day, Private, Monthly for 1 Child442,222.22 USh300,000.00-1,000,000.00
International Primary School, Yearly for 1 Child13,375,000.00 USh6,000,000.00-28,000,000.00

Clothing And Shoes
Edit
1 Pair of Jeans (Levis 501 Or Similar)63,000.00 USh30,000.00-80,000.00
1 Summer Dress in a Chain Store (Zara, H&M, ...)48,750.00 USh30,000.00-120,000.00
1 Pair of Nike Running Shoes (Mid-Range)122,222.22 USh70,000.00-200,000.00
1 Pair of Men Leather Business Shoes184,444.44 USh100,000.00-300,000.00

Rent Per Month
Edit
Apartment (1 bedroom) in City Centre1,227,272.73 USh500,000.00-2,543,822.07
Apartment (1 bedroom) Outside of Centre711,538.46 USh400,000.00-1,500,000.00
Apartment (3 bedrooms) in City Centre3,355,555.56 USh1,200,000.00-7,500,000.00
Apartment (3 bedrooms) Outside of Centre1,338,461.54 USh700,000.00-3,000,000.00

Buy Apartment Price
Edit
Price per Square Meter to Buy Apartment in City Centre4,113,880.53 USh3,600,000.00-4,741,641.60
Price per Square Meter to Buy Apartment Outside of Centre3,584,000.00 USh2,720,000.00-3,800,000.00
 
Wakuu,

Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.

Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa
Hawa ndio watu ambao CCM inaona wenye akili ya kutosha kujadili sheria za nchi yetu.

Kimsingi Kessy anatuambia, kama yeye alishawahi kula kinyesi cha nguruwe huko nyuma, kuna tatizo gani Tanzania kuhalalisha ulaji wa kinyesi cha nguruwe kwa kila Mtanzania?

Mtumieni ujumbe huu ili afikiri undani wa alichosema
 
Wakuu,

Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.

Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa.

Keissy anasema kwamba hata yeye alimuoa mkewe ambaye kwa wakati huo alikuwa na miaka 15.

Nitashangaa huyu mpuuzi akirudi tena 2025 kama mbunge, tuna uhalalisha upedophile kwa visingizio vya dini utafikiri hatuna akili ya kupembanua vitu na kuona hiki kinafaa ama lah.

===

"Mimi kama muislamu, Uislamu unasema mwanamke akishavunja ungo anaweza kuolewa. Mimi kama muslamu naamini kwamba miaka 14, 15 mwanamke anafaa kuolewa. Mi mwenyewe nimemuoa mke wangu akiwa na miaka 15"


Yeye aseme mabinti wa kiislam mwisho kusoma ni std 7, halafu waolewe ndivyo sheria ya dini ya kiislam. Hiyo ndo elimu ya juu anayoweza kupata binti wa umri huo.
 
Wakuu,

Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.

Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa.

Keissy anasema kwamba hata yeye alimuoa mkewe ambaye kwa wakati huo alikuwa na miaka 15.

Nitashangaa huyu mpuuzi akirudi tena 2025 kama mbunge, tuna uhalalisha upedophile kwa visingizio vya dini utafikiri hatuna akili ya kupembanua vitu na kuona hiki kinafaa ama lah.

===

"Mimi kama muislamu, Uislamu unasema mwanamke akishavunja ungo anaweza kuolewa. Mimi kama muslamu naamini kwamba miaka 14, 15 mwanamke anafaa kuolewa. Mi mwenyewe nimemuoa mke wangu akiwa na miaka 15"


ametaja miaka hiyo strategically akijua kisheria inaruhusiwa kama wazazi wameruhusu. though angesema tu kuwa kwenye uislam akivunja ungo tu ruksa kumwingilia kingono, mtume si alioa miaka 6 akasubiri afike 9 ndio akammwingilia? aibu hii.
 
Back
Top Bottom