Aliyebaka mtoto na kumwambukiza UKIMWI aachiwa huru baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,589
8,769
Mahakama Kuu ya Tanzania, imemwachia huru mzee wa miaka 78 ambaye alihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa madai ya kumbaka mtoto mwenye umri chini ya miaka 18 na kumwambukiza virusi vya Ukimwi (VVU) kati ya 2022 na 2023.

Mbali na Mahakama ya Wilaya ya Iringa kumuhukumu kifungo cha maisha Oktoba 20, 2023, Mahakama ilikuwa pia ilimwamuru kumlipa mtoto huyo, fidia ya Sh30 milioni, kulipa faini ya Sh5 milioni na kuchapwa viboko 11.

Mzee huyo alikuwa ametiwa hatiani kwa makosa matatu, moja la kubaka mtoto mwenye umri chini ya miaka 18, kumwambukiza virusi vya Ukimwi (VVU) kwa makusudi na kosa la tatu likiwa ni kufanya jaribio la kumbaka mtoto huyo.

Hukumu ya kubatilisha na kufutwa adhabu hizo, imetolewa Juni 28, 2024 na Jaji Eliamin Laltaika wa Mahakama Kuu kanda ya Iringa, akisema upande wa Jamhuri haukuweza kuthibitisha kesi hiyo kwa viwango vinavyokubalika kisheria.

Kubatilisha kwa hukumu hiyo na hatimaye kuachiwa huru kwa mzee huyo ambaye jina lake tunalihifadhi kwa sababu za kimaadili, kulitokana na rufaa aliyoikata Mahakama Kuu kanda ya Iringa, akiegemea sababu tano kupinga hukumu hiyo.

Miongoni mwa hoja hizo ni, Hakimu aliyemhukumu alikosea kisheria kumtia hatiani na kumpa adhabu hizo kwa kuegemea ushahidi dhaifu wa mwathirika (mtoto), aliyeshindwa kutaja tarehe halisi ambazo mshitakiwa alimbaka.

MWANANCHI

Pia Soma

- Iringa: Jela maisha kwa kubaka na kumpa mtoto Ukimwi
 
Mtoto alishazaliwa na ukimwi wanaanza kupakazia wazee , mzee anangoma aishi miaka yotehiyo na gerezani tena asimeze dawa
 
Mkuu kwanini umeamua kumuhukumu na kumtuhumu huyo mzee moja kwa moja? Hicho kichwa cha habari unamaanisha una uhakika

Unaleta uzi ili kuchonganisha na kuleta taharuki bila sababu zozote za maana
 
Serikali imebaliki mzee kurejea kitaa kutembeza Dudu+HVI.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mahakama Kuu ya Tanzania, imemwachia huru mzee wa miaka 78 ambaye alihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa madai ya kumbaka mtoto mwenye umri chini ya miaka 18 na kumwambukiza virusi vya Ukimwi (VVU) kati ya 2022 na 2023.

Mbali na Mahakama ya Wilaya ya Iringa kumuhukumu kifungo cha maisha Oktoba 20, 2023, Mahakama ilikuwa pia ilimwamuru kumlipa mtoto huyo, fidia ya Sh30 milioni, kulipa faini ya Sh5 milioni na kuchapwa viboko 11.

Mzee huyo alikuwa ametiwa hatiani kwa makosa matatu, moja la kubaka mtoto mwenye umri chini ya miaka 18, kumwambukiza virusi vya Ukimwi (VVU) kwa makusudi na kosa la tatu likiwa ni kufanya jaribio la kumbaka mtoto huyo.

Hukumu ya kubatilisha na kufutwa adhabu hizo, imetolewa Juni 28, 2024 na Jaji Eliamin Laltaika wa Mahakama Kuu kanda ya Iringa, akisema upande wa Jamhuri haukuweza kuthibitisha kesi hiyo kwa viwango vinavyokubalika kisheria.

Kubatilisha kwa hukumu hiyo na hatimaye kuachiwa huru kwa mzee huyo ambaye jina lake tunalihifadhi kwa sababu za kimaadili, kulitokana na rufaa aliyoikata Mahakama Kuu kanda ya Iringa, akiegemea sababu tano kupinga hukumu hiyo.

Miongoni mwa hoja hizo ni, Hakimu aliyemhukumu alikosea kisheria kumtia hatiani na kumpa adhabu hizo kwa kuegemea ushahidi dhaifu wa mwathirika (mtoto), aliyeshindwa kutaja tarehe halisi ambazo mshitakiwa alimbaka.

MWANANCHI

Pia Soma

- Iringa: Jela maisha kwa kubaka na kumpa mtoto Ukimwi
Hivi mtoto atakumbukaje tarehe halisi ambazo alifanyiwa ubakaji?
 
Mahakama Kuu ya Tanzania, imemwachia huru mzee wa miaka 78 ambaye alihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa madai ya kumbaka mtoto mwenye umri chini ya miaka 18 na kumwambukiza virusi vya Ukimwi (VVU) kati ya 2022 na 2023.

Mbali na Mahakama ya Wilaya ya Iringa kumuhukumu kifungo cha maisha Oktoba 20, 2023, Mahakama ilikuwa pia ilimwamuru kumlipa mtoto huyo, fidia ya Sh30 milioni, kulipa faini ya Sh5 milioni na kuchapwa viboko 11.

Mzee huyo alikuwa ametiwa hatiani kwa makosa matatu, moja la kubaka mtoto mwenye umri chini ya miaka 18, kumwambukiza virusi vya Ukimwi (VVU) kwa makusudi na kosa la tatu likiwa ni kufanya jaribio la kumbaka mtoto huyo.

Hukumu ya kubatilisha na kufutwa adhabu hizo, imetolewa Juni 28, 2024 na Jaji Eliamin Laltaika wa Mahakama Kuu kanda ya Iringa, akisema upande wa Jamhuri haukuweza kuthibitisha kesi hiyo kwa viwango vinavyokubalika kisheria.

Kubatilisha kwa hukumu hiyo na hatimaye kuachiwa huru kwa mzee huyo ambaye jina lake tunalihifadhi kwa sababu za kimaadili, kulitokana na rufaa aliyoikata Mahakama Kuu kanda ya Iringa, akiegemea sababu tano kupinga hukumu hiyo.

Miongoni mwa hoja hizo ni, Hakimu aliyemhukumu alikosea kisheria kumtia hatiani na kumpa adhabu hizo kwa kuegemea ushahidi dhaifu wa mwathirika (mtoto), aliyeshindwa kutaja tarehe halisi ambazo mshitakiwa alimbaka.

MWANANCHI

Pia Soma

- Iringa: Jela maisha kwa kubaka na kumpa mtoto Ukimwi
Sasa mtoto kishindwa kukumbuka tarehe inaondoaje kuwa alibakwa kama alibakwa kweli…?
 
wewe jamaa retied ni mbumbu na uwezo wako waku
Umesoma case proceedings na kujiridhisha prosecution case ina walakini? Unaongea kama hukwenda shule, mbumbumbu
fikiri ni mdogo sana yswezekana umefaulu kwa kubebwa natamani nikutukane ku.....
 
Mtoto alishazaliwa na ukimwi wanaanza kupakazia wazee , mzee anangoma aishi miaka yotehiyo na gerezani tena asimeze dawa
 
Hizi Kesi za Ubakaji Kwa Kenya niliona wamenzisha kupima DNA kabisa, hizi kesi kubambikiwa kuko nje nje nazani ndio kesi zinaongoza kwa kubambikiwa.
 
Hivi mtoto atakumbukaje tarehe halisi ambazo alifanyiwa ubakaji?
"Mzee huyo alikuwa ametiwa hatiani kwa makosa matatu, moja la kubaka mtoto mwenye umri chini ya miaka 18, kumwambukiza virusi vya Ukimwi (VVU) kwa makusudi na kosa la tatu likiwa ni kufanya jaribio la kumbaka mtoto huyo." Hayo makosa matatu kisheria yamekaaje hapo
 
Sasa mtoto kishindwa kukumbuka tarehe inaondoaje kuwa alibakwa kama alibakwa kweli…?
Ushahidi usiyo achaa shaka ndiyo kipengele! Sasa hapo kwa victim kutokumbuka tarehe za kubakwa tayari shaka isha ingia hapo,na Jaji kutaambaa nayo hiyo hiyo!!
 
Back
Top Bottom