Ajali ya Kimara Stop Over kumbe kaka yangu naye alikuwepo!

Sister Abigail

JF-Expert Member
Sep 2, 2020
2,919
9,164
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.

Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.

Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.

Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!

Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.

Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma.
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda
Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza
Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Pole sana mkuu
Mungu akutie wepesi katika kipindi hiki kigumu
Apumzike kwa amani 🙏
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda

Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza

Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Pole sana Abigail
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda
Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza
Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Poleni sana mkuu,
 
Nimeipata hii taarifa, nabishana na watu juzi Serikali inasema wamekufa watatu tu, watu wananiambia wamekufa wengi, leo napata taarifa mtu wangu wa karibu kabisa amefariki.

Hafai ni wakumzika kesho mapema. Nimeumia sana. Nikasema ajali niliyoiona yakupita kumbe imepita na vijana wadogo kabisa wenye ndoto zao. Pole sana na Mungu watangulie vijana wote waliopoteza maisha.
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda

Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza

Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Pole
 
Back
Top Bottom