Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,360
- 33,209
Ajali hiyo inaonesha kutokea katika barabara kuu ambapo dereva akiwa na abiria wake walipata ajali na kupelekea pikipiki kuwaka moto, abiria akiwa pembeni huku wasamaria wema wakijaribu kumnasua dereva katika moto.