Aisee serikali imetukamia walimu

Mkwawa mnyalukoro

JF-Expert Member
Oct 11, 2017
237
165
Kazi ipo walimu,sio mcheza leo kwa mara ya kwanza waziri wa elimu prof mkenda amesema kwanini walimu tunasailiwa.

Jipangene jamaa wapo siriasi.

Tusipovuka mwaka huu vigezo vya msimu ujao vitakuwa vikali zaidi.

Profesa amesema walimu tupo wengi hivyo anatafuta waliobora zaidi ili watoto walishwe vilivyo vinono.
Akasema kuwa vigezo sijui umemaliza zama sijui mwaka huu,unapaswa kujiendeleza ili ushindane akatolea mfano nchi kama ghana wanafanya hivi.

Prof akaenda mbali zaidi akasema hatuwezi kuwa na walimu wa kufundisha kiingereza ilhali hawajui kiingereza hivyo lazima tutafute kilicho bora kwa watt wetu.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Walimu endeleeni kujiendeleza hata kama hamna ajira ili kuwasaidia wakati wa usa

Rais amezungumzia maslahi ya walimu ni lazima sasa tuandae hao walimu wa kupata hayo maslahi.

Kwa hiyo kama bado kaka ama dada kaza sana jamaa wana lao jambo maana wamesema lazima tufanye maamuzi magumu.

Sasa tuache mazoea tujifue maana wanapoendea kutakuwa na kufukuzana kazi.
Waliokazini nao watafuatwa kupimwaaaa.
 
Hako kajamaa kana ujuaji mwingi sanaa ,,,, ndiyo maana hats raisi kuna muda aligoma kukapa ushirikiano kabisa ,, sasa kaechini kaendelee wenzie wamekawekea mtego ili kaharibu wakatoe nje ya mchezo
 
Siungani na kauli ya kujiendeleza ila waalimu bora mtulie muwasikilize hao jamaa maana hamna cha kuwafanya, kada yenu imepata hata nafasi ya kuongelewa kumbukeni kada nyingine nyingi sio tu haziongelewi bali kwenye matangazo ya ajira yanakuaga na nafasi tatu na vijana ni wengi sana wamezalishwa miaka ya karibuni .....
 
Kazi ipo walimu,sio mcheza leo kwa mara ya kwanza waziri wa elimu prof mkenda amesema kwanini walimu tunasailiwa.

Jipangene jamaa wapo siriasi.

Tusipovuka mwaka huu vigezo vya msimu ujao vitakuwa vikali zaidi.

Profesa amesema walimu tupo wengi hivyo anatafuta waliobora zaidi ili watoto walishwe vilivyo vinono.
Akasema kuwa vigezo sijui umemaliza zama sijui mwaka huu,unapaswa kujiendeleza ili ushindane akatolea mfano nchi kama ghana wanafanya hivi.

Prof akaenda mbali zaidi akasema hatuwezi kuwa na walimu wa kufundisha kiingereza ilhali hawajui kiingereza hivyo lazima tutafute kilicho bora kwa watt wetu.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Walimu endeleeni kujiendeleza hata kama hamna ajira ili kuwasaidia wakati wa usa

Rais amezungumzia maslahi ya walimu ni lazima sasa tuandae hao walimu wa kupata hayo maslahi.

Kwa hiyo kama bado kaka ama dada kaza sana jamaa wana lao jambo maana wamesema lazima tufanye maamuzi magumu.

Sasa tuache mazoea tujifue maana wanapoendea kutakuwa na kufukuzana kazi.
Waliokazini nao watafuatwa kupimwaaaa.
Yote Kwa yote jamaa hafai kuwa waziri wa elimu. Hana maono akili yake fupi mno. Anachozungumzia ni Bure kabisa. Maana watu wamepata Hadi 80 % huko na wakakatwa sijuwi ubora wake unaanzia asilimia ngapi huyo jamaa. But all in all, watu wa jimboni kwake fanyeni juu chini huyu jamaa asirudi kabisa bungeni nae ajiendeleze au ajiajiri.
 
Kazi ipo walimu,sio mcheza leo kwa mara ya kwanza waziri wa elimu prof mkenda amesema kwanini walimu tunasailiwa.

Jipangene jamaa wapo siriasi.

Tusipovuka mwaka huu vigezo vya msimu ujao vitakuwa vikali zaidi.

Profesa amesema walimu tupo wengi hivyo anatafuta waliobora zaidi ili watoto walishwe vilivyo vinono.
Akasema kuwa vigezo sijui umemaliza zama sijui mwaka huu,unapaswa kujiendeleza ili ushindane akatolea mfano nchi kama ghana wanafanya hivi.

Prof akaenda mbali zaidi akasema hatuwezi kuwa na walimu wa kufundisha kiingereza ilhali hawajui kiingereza hivyo lazima tutafute kilicho bora kwa watt wetu.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Walimu endeleeni kujiendeleza hata kama hamna ajira ili kuwasaidia wakati wa usa

Rais amezungumzia maslahi ya walimu ni lazima sasa tuandae hao walimu wa kupata hayo maslahi.

Kwa hiyo kama bado kaka ama dada kaza sana jamaa wana lao jambo maana wamesema lazima tufanye maamuzi magumu.

Sasa tuache mazoea tujifue maana wanapoendea kutakuwa na kufukuzana kazi.
Waliokazini nao watafuatwa kupimwaaaa.
Mtu aliyeshiba, kupanua domo bila hata kufikiria ni jambo la kawaida sana
 
Nani kawadanganya kuwa wao ni bora kushinda wale ambao wamesoma bila kupata ajira?.
 
Kazi ipo walimu,sio mcheza leo kwa mara ya kwanza waziri wa elimu prof mkenda amesema kwanini walimu tunasailiwa.

Jipangene jamaa wapo siriasi.

Tusipovuka mwaka huu vigezo vya msimu ujao vitakuwa vikali zaidi.

Profesa amesema walimu tupo wengi hivyo anatafuta waliobora zaidi ili watoto walishwe vilivyo vinono.
Akasema kuwa vigezo sijui umemaliza zama sijui mwaka huu,unapaswa kujiendeleza ili ushindane akatolea mfano nchi kama ghana wanafanya hivi.

Prof akaenda mbali zaidi akasema hatuwezi kuwa na walimu wa kufundisha kiingereza ilhali hawajui kiingereza hivyo lazima tutafute kilicho bora kwa watt wetu.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Walimu endeleeni kujiendeleza hata kama hamna ajira ili kuwasaidia wakati wa usa

Rais amezungumzia maslahi ya walimu ni lazima sasa tuandae hao walimu wa kupata hayo maslahi.

Kwa hiyo kama bado kaka ama dada kaza sana jamaa wana lao jambo maana wamesema lazima tufanye maamuzi magumu.

Sasa tuache mazoea tujifue maana wanapoendea kutakuwa na kufukuzana kazi.
Waliokazini nao watafuatwa kupimwaaaa.
Kada ya ualimu ina dharauliwa sana sababu walimu ni watu wa kujipendekeza sana, wanachongeana, Hawana msimamo na hawajiamini
 
Kazi ipo walimu,sio mcheza leo kwa mara ya kwanza waziri wa elimu prof mkenda amesema kwanini walimu tunasailiwa.

Jipangene jamaa wapo siriasi.

Tusipovuka mwaka huu vigezo vya msimu ujao vitakuwa vikali zaidi.

Profesa amesema walimu tupo wengi hivyo anatafuta waliobora zaidi ili watoto walishwe vilivyo vinono.
Akasema kuwa vigezo sijui umemaliza zama sijui mwaka huu,unapaswa kujiendeleza ili ushindane akatolea mfano nchi kama ghana wanafanya hivi.

Prof akaenda mbali zaidi akasema hatuwezi kuwa na walimu wa kufundisha kiingereza ilhali hawajui kiingereza hivyo lazima tutafute kilicho bora kwa watt wetu.

Soma Pia: Prof. Adolf Mkenda: Walimu endeleeni kujiendeleza hata kama hamna ajira ili kuwasaidia wakati wa usa

Rais amezungumzia maslahi ya walimu ni lazima sasa tuandae hao walimu wa kupata hayo maslahi.

Kwa hiyo kama bado kaka ama dada kaza sana jamaa wana lao jambo maana wamesema lazima tufanye maamuzi magumu.

Sasa tuache mazoea tujifue maana wanapoendea kutakuwa na kufukuzana kazi.
Waliokazini nao watafuatwa kupimwaaaa.
Ujinga tu. Wanatafuta kilicho bora, mbona watoto wao hawawapeleki kwenye hizo shule zao, na badala yake wanawapeleka shule za private?
 
Back
Top Bottom