Airtel hawana Voice of LTE(VoLTE)

Bird Watcher

JF-Expert Member
Aug 19, 2013
3,115
6,199
Wakuu, Voice over LTE ni huduma inayomuwezesha Mtu Kupiga simu wakati Simu ipo kwenye mtandao wa 4G au LTE bila disruption yoyote ile sasa ndugu zangu Airtel wao mpaka leo hakuna Hio huduma kiasi kwamba Ukipiga simu kwa Airtel lazima Internet idrop 3G au iondoke kabisa, Vodacom na Tigo wao naona tayari wana hio huduma tunaomba sana Airtel mlete hio huduma
Apart from Internet disruption pia VoLTE inaongeza quality of call
 
Wakuu, Voice over LTE ni huduma inayomuwezesha Mtu Kupiga simu wakati Simu ipo kwenye mtandao wa 4G au LTE bila disruption yoyote ile sasa ndugu zangu Airtel wao mpaka leo hakuna Hio huduma kiasi kwamba Ukipiga simu kwa Airtel lazima Internet idrop 3G au iondoke kabisa, Vodacom na Tigo wao naona tayari wana hio huduma tunaomba sana Airtel mlete hio huduma
Apart from Internet disruption pia VoLTE inaongeza quality of call
Wanayo HD call wao walikua wa Mwanzo kabisa kuweka, hd call pia ina quality sana.

Issue ni kwamba VoLTE ama HD call ili ifanye kazi inabidi wote wawili muwe na tech husika, usitegemee umpigie simu mtu ana kitochi then VoLTE I activate.
 
Wanayo HD call wao walikua wa Mwanzo kabisa kuweka, hd call pia ina quality sana.

Issue ni kwamba VoLTE ama HD call ili ifanye kazi inabidi wote wawili muwe na tech husika, usitegemee umpigie simu mtu ana kitochi then VoLTE I activate.
Sawa Mkuu Nimekuelewa ila Intention ni kuwa Votlte ikiwa ON hata upige simu haupata Disruption ya internet
 
Unatumia Simu gani ? Kama ilitengenezwa before 2022 hiyo Sahau , simu zote kuanzia za 2022 zinazo
 
Wakuu, Voice over LTE ni huduma inayomuwezesha Mtu Kupiga simu wakati Simu ipo kwenye mtandao wa 4G au LTE bila disruption yoyote ile sasa ndugu zangu Airtel wao mpaka leo hakuna Hio huduma kiasi kwamba Ukipiga simu kwa Airtel lazima Internet idrop 3G au iondoke kabisa, Vodacom na Tigo wao naona tayari wana hio huduma tunaomba sana Airtel mlete hio huduma
Apart from Internet disruption pia VoLTE inaongeza quality of call
ipo bana una wasingizia bure
 

Attachments

  • IMG_0657.png
    IMG_0657.png
    210.9 KB · Views: 9
Wakuu Hii Service ya VolTE inapatika almost nchi zote ambazo Airtel wapo kasoro Bongo, Airtel Rwanda, Airtel Kenya na Airtel Uganda Kote wamesha launch kwanini Bongo bado?
 
Wanayo HD call wao walikua wa Mwanzo kabisa kuweka, hd call pia ina quality sana.

Issue ni kwamba VoLTE ama HD call ili ifanye kazi inabidi wote wawili muwe na tech husika, usitegemee umpigie simu mtu ana kitochi then VoLTE I activate.
Issue sio Kumpigia Mtu ambae hana device yenye VolTE capability, Issue nikuwa Mimi nikisha enable hio service sitakuwa na Disruption za Mtandao when i want to make a call
 
Issue sio Kumpigia Mtu ambae hana device yenye VolTE capability, Issue nikuwa Mimi nikisha enable hio service sitakuwa na Disruption za Mtandao when i want to make a call
HD call haina disruption ya mtandao, ina operate in same way kama Volte, quality yake pia ni kubwa, it's just inatumia 3G badala ya 4G, 2G ndio haina uwezo wa kuoperate data na sauti kwa wakati mmoja.
 
HD call haina disruption ya mtandao, ina operate in same way kama Volte, quality yake pia ni kubwa, it's just inatumia 3G badala ya 4G, 2G ndio haina uwezo wa kuoperate data na sauti kwa wakati mmoja.
Hapo Nimekuelewa Chief japo naona VolTE ya 4G ndio quality zaidi na Ina Offer vingi Vizuri kuliko hio HD call, Imagine unapiga Simu ukiwa kwenye 4G na Hupati downfall ya Mtandao into 3G
 
Back
Top Bottom