Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,498
- 10,881
Mkiazima magari ya watu waulizeni kwanza wahusika msije mkatia aibu mtaani
Kuna mwenzenu huku kaazima Mercedes kwa ajili ya safari kwa mara ya kwanza, usiku ulipoingia alishindwa kufahamu wapi pa kuwashia taa hivyo akaamua ashikilie flashing light lever ( HIZO KWENYE MSHALE PICHANI ) mpaka mwisho wa safari
Na mwingine alipewa Volkswagen Golf akashindwa kupiga reverse, akadanganya watu gari betri limekufa ili wamsaidie kusukuma ili apark
Kuna jamaa alivyopewa Toyota Aqua akashangaa haiungurumi kumbe ni hybrid
Nimeitoa Facebook
Binafsi mimi kwa upande wangu mara ya kwanza niliendesha Townace niliikuta imepakiwa na bro nikaweka D then nikaendesha kimbembe nikawa nahangaika kutoa funguo bila kuzima gari, nikajikuta naweka N gari inatembea nilichanganyikiwa sana maana gari ilikuwa inaenda mtaroni nikakanyaga brake tu alaf nikamuita bro ikabidi awahi kuja kuizima.
JE WEWE ULIVYO PEWA GARI KWA MARA YA KWANZA KIPI KILIKUTOKEA EMBU TUJUZE ??
Kuna mwenzenu huku kaazima Mercedes kwa ajili ya safari kwa mara ya kwanza, usiku ulipoingia alishindwa kufahamu wapi pa kuwashia taa hivyo akaamua ashikilie flashing light lever ( HIZO KWENYE MSHALE PICHANI ) mpaka mwisho wa safari
Na mwingine alipewa Volkswagen Golf akashindwa kupiga reverse, akadanganya watu gari betri limekufa ili wamsaidie kusukuma ili apark
Kuna jamaa alivyopewa Toyota Aqua akashangaa haiungurumi kumbe ni hybrid
Nimeitoa Facebook
Binafsi mimi kwa upande wangu mara ya kwanza niliendesha Townace niliikuta imepakiwa na bro nikaweka D then nikaendesha kimbembe nikawa nahangaika kutoa funguo bila kuzima gari, nikajikuta naweka N gari inatembea nilichanganyikiwa sana maana gari ilikuwa inaenda mtaroni nikakanyaga brake tu alaf nikamuita bro ikabidi awahi kuja kuizima.
JE WEWE ULIVYO PEWA GARI KWA MARA YA KWANZA KIPI KILIKUTOKEA EMBU TUJUZE ??