AHMED ARAJIGA kuchezesha Derby tarehe 8

G.T.L

JF-Expert Member
Jul 15, 2012
1,237
2,479
Sasa ni Official, Referee Ahmed Arajiga ndio msimamizi wa mechi ya Yanga vs Simba tarehe 8.

Sasa ngoja tuone kama kutakua na malalamiko kutokana na makosa ya kiusimamizi.

Screenshot_20250305_100530_Instagram.jpg
 
Arajiga unastahili kuchezesha mechi hii kwakua kwasasa wewe ni bora ila naomba urekebishe eneo dogo tu.

Marefa wakubwa duniani uwa kabla ya mechi uangalia wachezaji wale wanao tarajiwa kucheza katika mechi tano za nyuma wana tabia gani za utata zinazo weza kumwalibia refa mechi yake.

Mimi naomba refa Arajiga na wasaidizi wako muangalie kwa makini tabia za baadhi ya wachezaji hasa Yusufu Kagoma , Ngoma na (Mzamiru kwasasa ua hapati nafasi)
Wanatabia za kucheza rafu pindi wanapohisi kuzidiwa ki mchezo.

Siwasingizii naomba muangalie mechi tano za nyuma mtanielewa
Kuna Tabia ya Shomari kapombe Kibu na Mpanzu kujiangusha ili wapewe Penalty au Kucheza rafu alafu nayeye kujiangusha especially (Kapombe)ili kuzuga asi adhibiwe na wanefanikiwa sana katika eneo ilo.

Wachezaji hawa katika kuhadaa marefa wamefanikiwa na kuwasababishia marefa lawama nyingi baada ya mechi husika.

Ninacho shauri, Mpira haukosi migusano ila kama refa angalia dhamira ya mchezaji husika na usisite kutoa maamuzi.

Kabla ya mechi uwaite ma Captain na kuwaeleza au mchezaji husika kadri mchezo unavyo endelea.

Usiogope Lawama, kikubwa chezesha kwa haki , kama ukiona timu mmoja imesha tandikwa zaidi ya goli tano uwe na roho ya kibinadamu ili kupunguza maafa ya nje ya uwanja.
Kuna baadhi ya mashabiki awawezi kuhimili kipigo kikubwa .

Jitahidi sana kuwasikiliza wasaidizi wako mnaunda pair bora kabisa uwanjani.
Tunategemea uamuzi bora kabisa na wa Haki kutokea kwenu.
 
Arajiga unastahili kuchezesha mechi hii kwakua kwasasa wewe ni bora ila naomba urekebishe eneo dogo tu.

Marefa wakubwa duniani uwa kabla ya mechi uangalia wachezaji wale wanao tarajiwa kucheza katika mechi tano za nyuma wana tabia gani za utata zinazo weza kumwalibia refa mechi yake.

Mimi naomba refa Arajiga na wasaidizi wako muangalie kwa makini tabia za baadhi ya wachezaji hasa Yusufu Kagoma , Ngoma na (Mzamiru kwasasa ua hapati nafasi)
Wanatabia za kucheza rafu pindi wanapohisi kuzidiwa ki mchezo.

Siwasingizii naomba muangalie mechi tano za nyuma mtanielewa
Kuna Tabia ya Shomari kapombe Kibu na Mpanzu kujiangusha ili wapewe Penalty au Kucheza rafu alafu nayeye kujiangusha especially (Kapombe)ili kuzuga asi adhibiwe na wanefanikiwa sana katika eneo ilo.

Wachezaji hawa katika kuhadaa marefa wamefanikiwa na kuwasababishia marefa lawama nyingi baada ya mechi husika.

Ninacho shauri, Mpira haukosi migusano ila kama refa angalia dhamira ya mchezaji husika na usisite kutoa maamuzi.

Kabla ya mechi uwaite ma Captain na kuwaeleza au mchezaji husika kadri mchezo unavyo endelea.

Usiogope Lawama, kikubwa chezesha kwa haki , kama ukiona timu mmoja imesha tandikwa zaidi ya goli tano uwe na roho ya kibinadamu ili kupunguza maafa ya nje ya uwanja.
Kuna baadhi ya mashabiki awawezi kuhimili kipigo kikubwa .

Jitahidi sana kuwasikiliza wasaidizi wako mnaunda pair bora kabisa uwanjani.
Tunategemea uamuzi bora kabisa na wa Haki kutokea kwenu.
Acha mbamba wee mzeee...
Acheni ulozi na kupita milango isiyohusika...
Na ushauri wako ungekua na maana sana kama ungewataja wachezaji rafu wenu Aucho,mudathir na boka.....
BOKA namchukia kweli kweli toka ile derby ya siku ile...ukitaka kujua angalia tena ile mechi...
 
Arajiga unastahili kuchezesha mechi hii kwakua kwasasa wewe ni bora ila naomba urekebishe eneo dogo tu.

Marefa wakubwa duniani uwa kabla ya mechi uangalia wachezaji wale wanao tarajiwa kucheza katika mechi tano za nyuma wana tabia gani za utata zinazo weza kumwalibia refa mechi yake.

Mimi naomba refa Arajiga na wasaidizi wako muangalie kwa makini tabia za baadhi ya wachezaji hasa Yusufu Kagoma , Ngoma na (Mzamiru kwasasa ua hapati nafasi)
Wanatabia za kucheza rafu pindi wanapohisi kuzidiwa ki mchezo.

Siwasingizii naomba muangalie mechi tano za nyuma mtanielewa
Kuna Tabia ya Shomari kapombe Kibu na Mpanzu kujiangusha ili wapewe Penalty au Kucheza rafu alafu nayeye kujiangusha especially (Kapombe)ili kuzuga asi adhibiwe na wanefanikiwa sana katika eneo ilo.

Wachezaji hawa katika kuhadaa marefa wamefanikiwa na kuwasababishia marefa lawama nyingi baada ya mechi husika.

Ninacho shauri, Mpira haukosi migusano ila kama refa angalia dhamira ya mchezaji husika na usisite kutoa maamuzi.

Kabla ya mechi uwaite ma Captain na kuwaeleza au mchezaji husika kadri mchezo unavyo endelea.

Usiogope Lawama, kikubwa chezesha kwa haki , kama ukiona timu mmoja imesha tandikwa zaidi ya goli tano uwe na roho ya kibinadamu ili kupunguza maafa ya nje ya uwanja.
Kuna baadhi ya mashabiki awawezi kuhimili kipigo kikubwa .

Jitahidi sana kuwasikiliza wasaidizi wako mnaunda pair bora kabisa uwanjani.
Tunategemea uamuzi bora kabisa na wa Haki kutokea kwenu.
Aucho ndio mchezarafu mashuhuri na mwenzake Baka, Arajiga asipepese macho
 
Marefa wakubwa duniani uwa kabla ya mechi uangalia wachezaji wale wanao tarajiwa kucheza katika mechi tano za nyuma wana tabia gani za utata zinazo weza kumwalibia refa mechi yake.
Mkuu umeshauri vizuri sanaa ila tatizo umekua Bias hapo ndo umeharibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom