Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,878
- 5,056
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Ahmed Ally leo January 20,2025 ameamua kulipamba gari lake msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga
SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera.
Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa kati kulikuwa na mambo mengi na ameacha hivyo kwa muda wiki tatu hadi mwezi.
Simba SC wao wamefuzu kwenda robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika wakati Yanga wametolewa hatua ya makundi baada ya kumaliza nafasi ya tatu.
SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera.
Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa kati kulikuwa na mambo mengi na ameacha hivyo kwa muda wiki tatu hadi mwezi.
Simba SC wao wamefuzu kwenda robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika wakati Yanga wametolewa hatua ya makundi baada ya kumaliza nafasi ya tatu.