Ahmed Ally azidi kuwakera Yanga abandika gari lake mabango la msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga michuano ya CAF

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,878
5,056
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Ahmed Ally leo January 20,2025 ameamua kulipamba gari lake msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga
IMG_2633.jpeg

SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera.

Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa kati kulikuwa na mambo mengi na ameacha hivyo kwa muda wiki tatu hadi mwezi.
IMG_2634.jpeg

Simba SC wao wamefuzu kwenda robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika wakati Yanga wametolewa hatua ya makundi baada ya kumaliza nafasi ya tatu.
 
Ila ingekuwa vice versa mzee mashabiki wa simba mngetukana sana mngeanza kusema msemaji ahainge na team yake aachane na timu yenu ila kwa kuwa kafamya yeye mnaona yuko sahihi
 
Lina muda basi labda wafike fainali nje ya hapo wakitolewa tu robo atalipachua.

Sema pia ndo utani wa jadi hivyo sioni kama ametukosea.
 
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Ahmed Ally leo January 20,2025 ameamua kulipamba gari lake msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga
View attachment 3207633
SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera.

Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa kati kulikuwa na mambo mengi na ameacha hivyo kwa muda wiki tatu hadi mwezi.
View attachment 3207636
Simba SC wao wamefuzu kwenda robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika wakati Yanga wametolewa hatua ya makundi baada ya kumaliza nafasi ya tatu.
Ni sawa, ni wakati wake kufurahi.

Ila ikifika zamu yetu ya kuweka mabango hatutaki matusi, kuweni wapole kama sisi.
 
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Ahmed Ally leo January 20,2025 ameamua kulipamba gari lake msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga
View attachment 3207633
SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera.

Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa kati kulikuwa na mambo mengi na ameacha hivyo kwa muda wiki tatu hadi mwezi.
View attachment 3207636
Simba SC wao wamefuzu kwenda robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika wakati Yanga wametolewa hatua ya makundi baada ya kumaliza nafasi ya tatu.
NI UTOTO TU AKIKUA ATAACHA.
 
Ila ingekuwa vice versa mzee mashabiki wa simba mngetukana sana mngeanza kusema msemaji ahainge na team yake aachane na timu yenu ila kwa kuwa kafamya yeye mnaona yuko sahihi
Mbona mnakuwa wepesi hivi kusahau? Vipi kuhusu kero yenu ya bango/mabango ya 5-1? Malipo ni hapa hapa Bongo. Ubaya Ubwela!😅
 
Back
Top Bottom