AGUSTINE OKEJEPHA AMEMKOSEA NINI MWALIMU FADLU DAVIDS MPAKA ANAKUWA CHAGUO LA TATU MBELE YA MZEE NGOMA?

gonamwitu

JF-Expert Member
Feb 16, 2018
2,180
2,786
Hongereni sana kwa ushindi wanamsimbazi..!! Kuleni shushu wanamsimbazi bila bugdha. Nimeshindwa kumuelewa kabisa mwalimu fadlu kwanini anaanza na ngoma ambaye umri umeenda(veterani),hana kasi,uwezo wake wa kukaba ni mdogo kwasababu kiuhalisia sio kiungo namba 6 wakati anaye okejepha mwenye kasi,uwezo wake wa kukaba ni mkubwa kwasababu ni kiungo mkabaji kiasili. Jana azam walikuwa wanapita katikati kirahisi tu? Why fadlu? Why ngoma and not okejepha? Kakufanya nini starboy? "BADO TUNAJENGA TIMU".
 
Ngoma jana katuliza sana kiungo .Na hakuna mchezaji mwenye uhakika wa namba katika Simba hii ukimtoa Spider Camara. Wengine wote wanatakiwa wajitume mazoezini ili waweze kupata nafasi ya mechi.

Kocha anajitahidi kuwapa nafasi wachezaji wote.
 
Ngoma jana katuliza sana kiungo .Na hakuna mchezaji mwenye uhakika wa namba katika Simba hii ukimtoa Spider Camara. Wengine wote wanatakiwa wajitume mazoezini ili waweze kupata nafasi ya mechi.

Kocha anajitahidi kuwapa nafasi wachezaji wote.
True say but hata okejepha shughuli hiyo anaiweza anaweza kupiga pasi vizuri,anakaba vizuri. Nadhani apewe game time ili asiue confidence yake.
 
Ngoma angechezeshwa kama 10 akishare dakika na Ahoua. Ateba hana watu wa kumlisha mipira ya kumuwezesha kufunga kirahisi na Ngoma ni mzuri sana katika kupiga pasi mpenyezo.
 
Huwa natamani sana kujua umri wenu nyie mnaopenda kuwananga wachezaji wazee, sio ajabu upo kwenye 50’s ila unamsema kijana ngoma mwenye miaka 30.

Bora hata ngoma, kuna mizee mingine kutwa kuwaita Pacome na wenzie wazee huwa nashangaa sana.
 
True say but hata okejepha shughuli hiyo anaiweza anaweza kupiga pasi vizuri,anakaba vizuri. Nadhani apewe game time ili asiue confidence yake.
Wote watapewa time. Mechi ziko nyingi ondoa shaka. Tambua kwamba injuries zikiwepo, timu haitakiwi kuyumba.

Mfano Kagoma, kaumia na aliyechukuwa nafasi yake kafunga.

Tulia kama wewe ni kweli mwana Lunyasi.

Penye upinzani wa namba kuna manufaa kwa timu kwasababu lazima ujitume zaidi kuweza kupata namba.
 
Ngoma angechezeshwa kama 10 akishare dakika na Ahoua. Ateba hana watu wa kumlisha mipira ya kumuwezesha kufunga kirahisi na Ngoma ni mzuri sana katika kupiga pasi mpenyezo.
Awesu ni mzuri sana katika kupiga pasi za mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…