Afrika Kusini: Imamu wa kwaza Duniani kutamka hadharani kujihusisha na ushoga auliwa kwa kupigwa risasi katika shambulio la kupangwa

Status
Not open for further replies.

Kinyungu

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
19,391
38,315
Kwa Tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili....

Muhsin Hendricks, anayetambuliwa kama Imamu wa kwanza kutamka hadharani kuwa mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja duniani, amepigwa risasi na kuuawa karibu na Gqeberha, Afrika Kusini, tarehe 15 Februari 2025.

Alikuwa ndani ya gari lake wakati washambuliaji wawili waliovaa barakoa walipolizuia gari lake na kufyatua risasi, na kusababisha kifo chake. Mamlaka bado hazijabaini sababu ya shambulio hilo, lakini mashirika ya kimataifa ya LGBTQ+ yanahofia kuwa huenda lilikuwa uhalifu wa chuki.

Hendricks, ambaye alikuwa mtetezi shupavu wa Waislamu wa LGBTQ+, aliwahi kukiri kupokea vitisho, lakini alisisitiza kuwa "haja ya kuwa wa kweli" ilikuwa muhimu zaidi kuliko hofu yake.

Alizaliwa Cape Town mwezi Juni 1967 na alikulia katika familia ya Kiislamu ya jadi ya washika dini. Alisomea masomo ya Kiislamu nchini Pakistan lakini alipotangaza kuwa yeye ni mpenzi wa jinsia moja mwaka 1996, alipoteza nafasi yake kama imamu.

Kutokana na hilo, alianzisha Inner Circle, baadaye ikijulikana kama Al-Fitrah Foundation, kusaidia Waislamu wa LGBTQ+ kupatanisha imani yao na utambulisho wao wa kijinsia. Pia alianzisha msikiti wa Masjidul Ghurbaah mjini Cape Town, mahali salama kwa Waislamu waliotengwa.

Kazi yake ya utetezi ilienea kwenye mashirika mbalimbali ya LGBTQ+ na alihusishwa kwenye filamu ya maandishi ya mwaka 2022 iitwayo The Radical. Kifo chake cha ghafla kimezua miito kutoka kwa mashirika ya kimataifa kutaka uchunguzi wa kina kufanyika.

adriz Naona watu washaondoa uovu kwa mikono yao huku

=====

Muhsin Hendricks, known as the world’s first openly gay imam, was gunned down near Gqeberha, South Africa.

Hendricks, who led a mosque for LGBTQ+ Muslims, was ambushed while in a car when two masked gunmen blocked the vehicle and opened fire before fleeing.

Authorities have not determined a motive, but global LGBTQ+ organizations fear it was a hate crime.

Hendricks, an outspoken advocate, had previously acknowledged threats but insisted that “the need to be authentic” outweighed fear.

Source: Guardian


20250216_085946.jpg
 
Lazima ni majihadist

Hata yule mchoma Quran wa Sweden walimpiga risasi mwezi uliopita na wakakimbia.

Walivyo waoga na wapumbavu, wanampigania allah wao, wanaua watu lakini wao hawataki kufa, wanaogopa nini kufa?

Walivyomuua yule mchoma Quran wa Sweden, kesho yake ndio Quran zikachomwa zaidi.
 
Muhsin Hendricks, known as the world’s first openly gay imam, was gunned down near Gqeberha, South Africa.

Hendricks, who led a mosque for LGBTQ+ Muslims, was ambushed while in a car when two masked gunmen blocked the vehicle and opened fire before fleeing.

Authorities have not determined a motive, but global LGBTQ+ organizations fear it was a hate crime.

Hendricks, an outspoken advocate, had previously acknowledged threats but insisted that “the need to be authentic” outweighed fear.

Source: Guardian

============
Kwa Tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili....

Muhsin Hendricks, anayetambuliwa kama Imamu wa kwanza kutamka hadharani kuwa mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja duniani, amepigwa risasi na kuuawa karibu na Gqeberha, Afrika Kusini, tarehe 15 Februari 2025.

Alikuwa ndani ya gari lake wakati washambuliaji wawili waliovaa barakoa walipolizuia gari lake na kufyatua risasi, na kusababisha kifo chake. Mamlaka bado hazijabaini sababu ya shambulio hilo, lakini mashirika ya kimataifa ya LGBTQ+ yanahofia kuwa huenda lilikuwa uhalifu wa chuki.

Hendricks, ambaye alikuwa mtetezi shupavu wa Waislamu wa LGBTQ+, aliwahi kukiri kupokea vitisho, lakini alisisitiza kuwa "haja ya kuwa wa kweli" ilikuwa muhimu zaidi kuliko hofu yake.

Alizaliwa Cape Town mwezi Juni 1967 na alikulia katika familia ya Kiislamu ya jadi ya washika dini. Alisomea masomo ya Kiislamu nchini Pakistan lakini alipotangaza kuwa yeye ni mpenzi wa jinsia moja mwaka 1996, alipoteza nafasi yake kama imamu.

Kutokana na hilo, alianzisha Inner Circle, baadaye ikijulikana kama Al-Fitrah Foundation, kusaidia Waislamu wa LGBTQ+ kupatanisha imani yao na utambulisho wao wa kijinsia. Pia alianzisha msikiti wa Masjidul Ghurbaah mjini Cape Town, mahali salama kwa Waislamu waliotengwa.

Kazi yake ya utetezi ilienea kwenye mashirika mbalimbali ya LGBTQ+ na alihusishwa kwenye filamu ya maandishi ya mwaka 2022 iitwayo The Radical. Kifo chake cha ghafla kimezua miito kutoka kwa mashirika ya kimataifa kutaka uchunguzi wa kina kufanyika.

adriz Naona watu washaondoa uovu kwa mikono yao huku

View attachment 3237476

View: https://x.com/MarioNawfal/status/1890958026011553959?t=KgJ5IyR1txlvb6k2YUEO8Q&s=19

Hakuna waislamu wa LGBTQ hao washenzi tu
 
Lazima ni majihadist.

Hata yule mchoma Quran wa Sweden walimpiga risasi mwezi uliopita na wakakimbia.

Walivyo waoga na wapumbavu, wanampigania allah wao, wanaua watu lakini wao hawataki kufa, wanaogopa nini kufa?

Walivyomuua yule mchoma Quran wa Sweden, kesho yake ndio Quran zikachomwa zaidi.
Kwahiyo we ubafurahia kusikia imam ama padri choko!?
Unaweza kuwa mpinzani wa imani lakini si lazima uunge mkono kila jambo, sijui waliomuua ni kwa sababu zipi, lakini mie naona ni sawa tu haswa kama ni ishu ya kujitia imam tena wa mashoga.
 
Mtume amesema,
Jambo linalokuchukiza, liondoshe kwa mkono, ukishindwa ulikemee, ukishindwa ulichukie moyoni mwako, na kuchukia moyoni ni uchache wa imani.

Ndio maana fisiem wametutawala sana, wanatukera tumeshindwa kuwachukulia hatua, tunashindwa kukemea hadharani tukiogopa kutekwa, tunabaki kuwachukia moyoni
 
Lazima ni majihadist.

Hata yule mchoma Quran wa Sweden walimpiga risasi mwezi uliopita na wakakimbia.

Walivyo waoga na wapumbavu, wanampigania allah wao, wanaua watu lakini wao hawataki kufa, wanaogopa nini kufa?

Walivyomuua yule mchoma Quran wa Sweden, kesho yake ndio Quran zikachomwa zaidi.
wewe ndo huna akili, mngekua na akili msingedanganywa na Mfalme Zumaridi aliesema anamfufua Michael Jackson na nyie mmekaaa tu , au yule wa Arusha aliesema anasubiri kwenda Airport kumpokea Yesu na Range Rover , mtu anajiita nabii, mtume halafu anakusanya sadaka za kondooo
 
wewe ndo huna akili, mngekua na akili msingedanganywa na Mfalme Zumaridi aliesema anamfufua Michael Jackson na nyie mmekaaa tu , au yule wa Arusha aliesema anasubiri kwenda Airport kumpokea Yesu na Range Rover , mtu anajiita nabii, mtume halafu anakusanya sadaka za kondooo
Hehehe
 
Lakini wao hawana msikiti wao maalum na wala hawadai haki za wazinzi
Mtu akitaka kufanya uovu hakosi sababu. Na hawa nao hawakosi sababu ndiyo maana wanafanya na hadi msikiti wameanzisha

Umewahi kuwauliza wazinzi kwa nini wanafanya uzinzi? Walikosa sababu ya wao kufanya hivyo?
 
Mtu akitaka kufanya uovu hakosi sababu. Na hawa nao hawakosi sababu ndiyo maana wanafanya na hadi msikiti wameanzisha

Umewahi kuwauliza wazinzi kwa nini wanafanya uzinzi? Walikosa sababu ya wao kufanya hivyo?
Lakini wazinzi hukiri kuwa uzinzi ni kitu kisichofaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom