ACT Wazalendo: Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela

Wiston Mogha

Senior Member
Feb 13, 2014
167
141
IMG_6370.jpeg

Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela

ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa amejeruhiwa vibaya.

Kijana huyu ni mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam alitafutwa na ndugu zake bila mafanikio baada ya kutoonekana kwa siku 3 tangu Jumapili tarehe 23.

Watanzania wameanza kuingia tena na hofu kukithiri kwa matukio ya wananchi kupotea, kuteswa na kuawa kwa kasi siku za hivi karibu. Inasikitisha pia kuona Jeshi la Polisi kutochukua hatua za haraka kwa wanaohusika na matukio hayo.

Tunalaani kwa nguvu zote kuongezeka kwa matukio hayo bila hatua madhubuti kuchukuliwa. Wananchi wamechoshwa na kutowajibika kwa Jeshi la Polisi au kuhusishwa kwao katika matukio ya kuwaumiza, kuwatesa na kuwakandamiza kila uchao badala ya kutekeleza wajibu wa kuwalinda pamoja na mali zao.

ACT Wazando tumechukua hatua za kumrejesha Dar es Salaam kwa Ndege kijana Mwakabela ili aweze kupatiwa matibabu haraka na ya kibingwa.

Hata hivyo, tunataka hatua za haraka za uchuhguzi zifanyike ili kubaini watu waliohusika na utekaji wa Ndg. Edgar Mwakabela.

Ndg. Dahlia Majid,
Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani
27 Juni, 2024.
 
Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela


ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa amejeruhiwa vibaya.


Kijana huyu ni mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam alitafutwa na ndugu zake bila mafanikio baada ya kutoonekana kwa siku 3 tangu Jumapili tarehe 23.


Watanzania wameanza kuingia tena na hofu kukithiri kwa matukio ya wananchi kupotea,


kuteswa na kuawa kwa kasi siku za hivi karibu. Inasikitisha pia kuona Jeshi la Polisi kutochukua hatua za haraka kwa wanaohusika na matukio hayo.


Tunalaani kwa nguvu zote kuongezeka kwa matukio hayo bila hatua madhubuti kuchukuliwa. Wananchi wamechoshwa na kutowajibika kwa Jeshi la Polisi au kuhusishwa kwao katika matukio ya kuwaumiza, kuwatesa na kuwakandamiza kila uchao badala ya kutekeleza wajibu wa kuwalinda pamoja na mali zao.


ACT Wazando tumechukua hatua za kumrejesha Dar es Salaam kwa Ndege kijana


Mwakabela ili aweze kupatiwa matibabu haraka na ya kibingwa.


Hata hivyo, tunataka hatua za haraka za uchuhguzi zifanyike ili kubaini watu waliohusika


na utekaji wa Ndg. Edgar Mwakabela.


Ndg. Dahlia Majid,


Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani


27 Juni, 2024.
Na hili nalo litapita Kama mengine mengi ambayo yamepita. Na Hakuna kitu chochote kitatokea
 
Vyama vingine ni bora vingeungana tu kutengeneza chama imara cha upinzani .
 
Kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake, mimi kamba yangu imeishia hapo kwenye ubishi wa Simba na Yanga bila kusahau kula kimasiara.
Urefu wa kamba nia aina ya ubinafsi mkuu.
 
Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela


ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa amejeruhiwa vibaya.


Kijana huyu ni mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam alitafutwa na ndugu zake bila mafanikio baada ya kutoonekana kwa siku 3 tangu Jumapili tarehe 23.


Watanzania wameanza kuingia tena na hofu kukithiri kwa matukio ya wananchi kupotea,


kuteswa na kuawa kwa kasi siku za hivi karibu. Inasikitisha pia kuona Jeshi la Polisi kutochukua hatua za haraka kwa wanaohusika na matukio hayo.


Tunalaani kwa nguvu zote kuongezeka kwa matukio hayo bila hatua madhubuti kuchukuliwa. Wananchi wamechoshwa na kutowajibika kwa Jeshi la Polisi au kuhusishwa kwao katika matukio ya kuwaumiza, kuwatesa na kuwakandamiza kila uchao badala ya kutekeleza wajibu wa kuwalinda pamoja na mali zao.


ACT Wazando tumechukua hatua za kumrejesha Dar es Salaam kwa Ndege kijana


Mwakabela ili aweze kupatiwa matibabu haraka na ya kibingwa.


Hata hivyo, tunataka hatua za haraka za uchuhguzi zifanyike ili kubaini watu waliohusika


na utekaji wa Ndg. Edgar Mwakabela.


Ndg. Dahlia Majid,


Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani


27 Juni, 2024.

Ingekuwa inawezekana, tungetakiwa kuwaleta vijana wa Kenya waje kutoa elimu na mafunzo ya ujasiri kwa vijana wa Tanzania.

NB. Watawala wa Afrika hakuna lugha wanayoisikia zaidi ya matumizi ya nguvu. Bila watanzania kuamka, watawala wataendelea na uharamia wao dhidi ya raia kwa kuwatumia Green Guards.
 
Ingekuwa inawezekana, tungetakiwa kuwaleta vijana wa Kenya waje kutoa elimu na mafunzo ya ujasiri kwa vijana wa Tanzania.

NB. Watawala wa Afrika hakuna lugha wanayoisikia zaidi ya matumizi ya nguvu. Bila watanzania kuamka, watawala wataendelea na uharamia wao dhidi ya raia kwa kuwatumia Green Guards.
Kwani makamanda wameshindwa?
 
View attachment 3027737
Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela

ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa amejeruhiwa vibaya.

Kijana huyu ni mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam alitafutwa na ndugu zake bila mafanikio baada ya kutoonekana kwa siku 3 tangu Jumapili tarehe 23.

Watanzania wameanza kuingia tena na hofu kukithiri kwa matukio ya wananchi kupotea, kuteswa na kuawa kwa kasi siku za hivi karibu. Inasikitisha pia kuona Jeshi la Polisi kutochukua hatua za haraka kwa wanaohusika na matukio hayo.

Tunalaani kwa nguvu zote kuongezeka kwa matukio hayo bila hatua madhubuti kuchukuliwa. Wananchi wamechoshwa na kutowajibika kwa Jeshi la Polisi au kuhusishwa kwao katika matukio ya kuwaumiza, kuwatesa na kuwakandamiza kila uchao badala ya kutekeleza wajibu wa kuwalinda pamoja na mali zao.

ACT Wazando tumechukua hatua za kumrejesha Dar es Salaam kwa Ndege kijana Mwakabela ili aweze kupatiwa matibabu haraka na ya kibingwa.

Hata hivyo, tunataka hatua za haraka za uchuhguzi zifanyike ili kubaini watu waliohusika na utekaji wa Ndg. Edgar Mwakabela.

Ndg. Dahlia Majid,
Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani
27 Juni, 2024.
Sativa ana majibu yote wala msisumbue Polisi.

Screenshot_20240627_174843_X.jpg
20240628_060208.jpg
20240627_190439.jpg
 
Back
Top Bottom