Pre GE2025 ACT - Wazalendo: CCM haipo tayari kwa mabadiliko, ni lazima sasa tuyadai kwa njia ya mapambano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Nov 7, 2023
700
1,169
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeonyesha dalili zote kuwa hakipo tayari kwa mabadiliko ya kimfumo ya uchaguzi hivyo kwa sasa wanahitaji kudai mabadiliko kwa njia ya mapambano.

Akizungumza Februari 23 kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho Semu amesema “CCM na Dola wameonesha kuwa hawako tayari kufanya mageuzi ya kuimarisha demokrasia na mifumo ya Uchaguzi yatakayopelekea kuheshimiwa maamuzi ya wananchi. Ni lazima sasa tuyadai kwa njia ya mapambano.”

Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hata hivyo ametahadarisha wanachama wa chama hicho kuwa yanahitajika maandalizi makubwa ili kuyaendea mapambano hayo pamoja na kudhibiti hujuma ambazo wamedai CCM kuwafanyia kwenye chaguzi mbali mbali

“Chama chetu kinapaswa kujipanga vizuri kuhakikisha kuwa tunadhibiti hujuma za CCM na dola na tunafanikisha malengo yetu ya kisiasa kama ambavyo majemedari hodari kwenye vita mbalimbali ulimwenguni waliweza kuusoma mwelekeo wa vita, kufufua ari ya mapambano na kusonga mbele hadi kuupata ushindi.” amesema Semu

"Kwa mshikamano wetu, kwa hakika, tutayafikia malengo yetu. Ndugu zangu, ni wakati wa kuchukua hatua. Tuwe na mshikamano na umoja katika kukabiliana na matatizo yanayotukabili. Kwa pamoja, tunaweza kufanikisha malengo yetu na kuleta mabadiliko tunayoyahitaji." amesisitiza Semu
1740375553546.png
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeonyesha dalili zote kuwa hakipo tayari kwa mabadiliko ya kimfumo ya uchaguzi hivyo kwa sasa wanahitaji kudai mabadiliko kwa njia ya mapambano.

Akizungumza Februari 23 kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho Semu amesema “CCM na Dola wameonesha kuwa hawako tayari kufanya mageuzi ya kuimarisha demokrasia na mifumo ya Uchaguzi yatakayopelekea kuheshimiwa maamuzi ya wananchi. Ni lazima sasa tuyadai kwa njia ya mapambano.”

Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hata hivyo ametahadarisha wanachama wa chama hicho kuwa yanahitajika maandalizi makubwa ili kuyaendea mapambano hayo pamoja na kudhibiti hujuma ambazo wamedai CCM kuwafanyia kwenye chaguzi mbali mbali

“Chama chetu kinapaswa kujipanga vizuri kuhakikisha kuwa tunadhibiti hujuma za CCM na dola na tunafanikisha malengo yetu ya kisiasa kama ambavyo majemedari hodari kwenye vita mbalimbali ulimwenguni waliweza kuusoma mwelekeo wa vita, kufufua ari ya mapambano na kusonga mbele hadi kuupata ushindi.” amesema Semu

"Kwa mshikamano wetu, kwa hakika, tutayafikia malengo yetu. Ndugu zangu, ni wakati wa kuchukua hatua. Tuwe na mshikamano na umoja katika kukabiliana na matatizo yanayotukabili. Kwa pamoja, tunaweza kufanikisha malengo yetu na kuleta mabadiliko tunayoyahitaji." amesisitiza Semu
View attachment 3247447
MAPAMBANO YAPI? LABDA INFANTRY!
 
Hawa ACT bana, wakati wameanza wamewakuta cdm wako kwenye mapambano kutokana na tabia ya ccm. Wakajifanya wao wanafanya siasa za hoja na sio za kiharakati. Wakawa na mbwembwe nyingi katika kuonyesha kuwa cdm haina hoja ndio maana wananchi hawawaelewi.

Baada na wao kufanyiziwa na ccm kwenye chaguzi, ndio wanataka mapambano na siasa za kiharakati badala ya hoja! Nashindwa kujua zile mbwembwe zao hawakuwa wanajua kuwa ccm hawashindi kwa hoja, na cdm kufuata njia za mapambano hawakuona kuwa walikuwa sahihi? Wanatarajia kuaminika wakati walikuwa wanabeza njia sahihi toka awali?
 
Hawa ACT bana, wakati wameanza wamewakuta cdm wako kwenye mapambano kutokana na tabia ya ccm. Wakajifanya wao wanafanya siasa za hoja na sio za kiharakati. Wakawa na mbwembwe nyingi katika kuonyesha kuwa cdm haina hoja ndio maana wananchi hawawaelewi.

Baada na wao kufanyiziwa na ccm kwenye chaguzi, ndio wanataka mapambano na siasa za kiharakati badala ya hoja! Nashindwa kujua zile mbwembwe zao hawakuwa wanajua kuwa ccm hawashindi kwa hoja, na cdm kufuata njia za mapambano hawakuona kuwa walikuwa sahihi? Wanatarajia kuaminika wakati walikuwa wanabeza njia sahihi toka awali?
mkuu hizo unazosema zilikuwa siasa za zitto kabwe wakati alipokuwa kiongozi na siasa zake za maslahi..ila kwasahivi kastaafu uongozi ndio hivi walioshika hatamu wao wanataka kufanya siasa serious usiwabeze ni mwanzo mzuri
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeonyesha dalili zote kuwa hakipo tayari kwa mabadiliko ya kimfumo ya uchaguzi hivyo kwa sasa wanahitaji kudai mabadiliko kwa njia ya mapambano.

Akizungumza Februari 23 kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho Semu amesema “CCM na Dola wameonesha kuwa hawako tayari kufanya mageuzi ya kuimarisha demokrasia na mifumo ya Uchaguzi yatakayopelekea kuheshimiwa maamuzi ya wananchi. Ni lazima sasa tuyadai kwa njia ya mapambano.”

Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hata hivyo ametahadarisha wanachama wa chama hicho kuwa yanahitajika maandalizi makubwa ili kuyaendea mapambano hayo pamoja na kudhibiti hujuma ambazo wamedai CCM kuwafanyia kwenye chaguzi mbali mbali

“Chama chetu kinapaswa kujipanga vizuri kuhakikisha kuwa tunadhibiti hujuma za CCM na dola na tunafanikisha malengo yetu ya kisiasa kama ambavyo majemedari hodari kwenye vita mbalimbali ulimwenguni waliweza kuusoma mwelekeo wa vita, kufufua ari ya mapambano na kusonga mbele hadi kuupata ushindi.” amesema Semu

"Kwa mshikamano wetu, kwa hakika, tutayafikia malengo yetu. Ndugu zangu, ni wakati wa kuchukua hatua. Tuwe na mshikamano na umoja katika kukabiliana na matatizo yanayotukabili. Kwa pamoja, tunaweza kufanikisha malengo yetu na kuleta mabadiliko tunayoyahitaji." amesisitiza Semu
View attachment 3247447
Kwa tume hii ccm wataendelea kushinda wapendavyo
 
Back
Top Bottom