Acha lawama, ni wewe ndiye unayepaswa kuwajibika juu ya maisha yako

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
4,079
4,189
Leo tunakuzwa katika misingi ya kujitetea na kukwepa kuwajibika karibu katika kila eneo. Hatujifunzi na hatutaki kukubali kuwa tunapaswa kuwajibika asilimia mia moja juu ya maisha yetu na badala yake tunawatafuta wa kuwatupia lawama.

Ni kweli yapo mambo mengi yanayoweza kutokea nje ya uwezo etu ila hayaondoi wajibu wetu juu ya maisha yetu. Hatuwezi kuizuia mvua kunyesha ila tunaweza kukwepa au kujilinda mvua isituloweshe.

Mchezo wa lawama " blame game" ni mchezo wa wasiopenda kuwajibika juu yao. Ni mchezo wa kujiliwaza na kuhamishia majukumu yako kwa wengine kana kwamba na wao hawana majukumu yao. Unayemlaumu na yeye analaumu.

Umasikini na uzembe mkubwa umejificha kwenye mchezo wa lawama. Mduara mzima wa umasikini na uzembe kivuli chake kikuu na faraja yake ni lawama. Lawama hutuaminisha kuwa yupo aliyepaswa kuwajibika juu yetu na siyo sisi "anayetusaidia kuishi maisha yetu"...ah!..ah...

Lawama humfanya mtu kujiona yupo sahihi sana "malaika"'ila wengine ndiyo wanaomkosea na kumfanya kuwa alivyo. Ukweli unaouma ni kuwa "tupo tulivyo kwa sababu tunataka haswa kuwa hivi tulivyo". Hakuna lugha rahisi zaidi ya kuumiza Ili kumfanya mtu kuona uchungu juu ya hali yake na kuchukua hatua.

"You are the master of your life"
 
Leo tunakuzwa katika misingi ya kujitetea na kukwepa kuwajibika karibu katika kila eneo. Hatujifunzi na hatutaki kukubali kuwa tunapaswa kuwajibika asilimia mia moja juu ya maisha yetu na badala yake tunawatafuta wa kuwatupia lawama.

Ni kweli yapo mambo mengi yanayoweza kutokea nje ya uwezo etu ila hayaondoi wajibu wetu juu ya maisha yetu. Hatuwezi kuizuia mvua kunyesha ila tunaweza kukwepa au kujilinda mvua isituloweshe.

Mchezo wa lawama " blame game" ni mchezo wa wasiopenda kuwajibika juu yao. Ni mchezo wa kujiliwaza na kuhamishia majukumu yako kwa wengine kana kwamba na wao hawana majukumu yao. Unayemlaumu na yeye analaumu.

Umasikini na uzembe mkubwa umejificha kwenye mchezo wa lawama. Mduara mzima wa umasikini na uzembe kivuli chake kikuu na faraja yake ni lawama. Lawama hutuaminidha kuwa yupo aliyepaswa kuwajibika juu yetu na siyo sisi.

Lawama humfanya mtu kujiona yupo sahihi sana "malaika"'ila wengine ndiyo wanaomkosea na kumfanya kuwa alivyo. Ukweli unaouma ni kuwa "tupo tulivyo kwa sababu tunataka haswa kuwa hivi tulivyo". Hakuna lugha rahisi zaidi ya kuumiza Ili kumfanya mtu kuona uchungu juu ya hali yake na kuchukua hatua.

"You are the master of your life"
I recently learnt that, as a result of an operation led by a man named Mafwele, your lives may be in danger. If so, do you still have sole responsibility for your safety and well-being?
 
I recently learnt that, as a result of an operation led by a man named Mafwele, your lives may be in danger. If so, do you still have sole responsibility for your safety and well-being?
Yes, I do not deny the truth that I am also responsible for ensuring my own safety. The presence of danger is not a reason for someone not to take precautions. In other words, I should take precautions.

And then, even the person you're mentioning is only being speculated about. I'm not very sure if they are really involved in every incident. I think this calls for an investigation.
 
I recently learnt that, as a result of an operation led by a man named Mafwele, your lives may be in danger. If so, do you still have sole responsibility for your safety and well-being?
Yes, I do not deny the truth that I am also responsible for ensuring my own safety. The presence of danger is not a reason for someone not to take precautions. In other words, I should take precautions.

And then, even the person you're mentioning is only being speculated about. I'm not very sure if they are really involved in every incident. I think this calls for an investigation.
 
Kwa ujumbe huu wanaoilaumu serikali wanapaswa kuacha, wanaowalaumu graduate waache, wanaowalaumu wanawake waache, wanaowalaumu wanaume waache
Kulaumu hakubadilishi mambo kuwa mazuri. Bahati mbaya sana watanzania tunapenda sana kulaumu. Kwa mfano: hatupaswi kulaumu serikali bali tunatakiwa kutumia haki yetu kuiondosha madarakani pale inaposhindwa kutumiza majukumu na kama inatumia ulaghai wa kuiba kura, na sisi tutumie nguvu kuwaondoa.
 
Leo tunakuzwa katika misingi ya kujitetea na kukwepa kuwajibika karibu katika kila eneo. Hatujifunzi na hatutaki kukubali kuwa tunapaswa kuwajibika asilimia mia moja juu ya maisha yetu na badala yake tunawatafuta wa kuwatupia lawama.

Ni kweli yapo mambo mengi yanayoweza kutokea nje ya uwezo etu ila hayaondoi wajibu wetu juu ya maisha yetu. Hatuwezi kuizuia mvua kunyesha ila tunaweza kukwepa au kujilinda mvua isituloweshe.

Mchezo wa lawama " blame game" ni mchezo wa wasiopenda kuwajibika juu yao. Ni mchezo wa kujiliwaza na kuhamishia majukumu yako kwa wengine kana kwamba na wao hawana majukumu yao. Unayemlaumu na yeye analaumu.

Umasikini na uzembe mkubwa umejificha kwenye mchezo wa lawama. Mduara mzima wa umasikini na uzembe kivuli chake kikuu na faraja yake ni lawama. Lawama hutuaminidha kuwa yupo aliyepaswa kuwajibika juu yetu na siyo sisi.

Lawama humfanya mtu kujiona yupo sahihi sana "malaika"'ila wengine ndiyo wanaomkosea na kumfanya kuwa alivyo. Ukweli unaouma ni kuwa "tupo tulivyo kwa sababu tunataka haswa kuwa hivi tulivyo". Hakuna lugha rahisi zaidi ya kuumiza Ili kumfanya mtu kuona uchungu juu ya hali yake na kuchukua hatua.

"You are the master of your life"
Nakubaliana na wewe 100%. Kwa mfano sasa hivi, tuache kuilaumu CCM na tuingie barabarani kuiondosha kwenye madaraka kwa sababu inazidi kuleta umaskini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom