chief bazoka
Member
- Jan 31, 2014
- 97
- 22
Habari wadau naomba msaada wa effects ya abortion pills for three weeks pregnant.na je kuna uwezekano ku save mimba akiwa kaisha vimeza hivyo vidonge? Msaada please
hakuna uwezekano wa kusave mimba kama ameshameza abortion pills!Ndio maana unatakiwa uamue kabla hujavimeza unachotaka!
Inategemea unatumia dawa gani dia kwasababu kuna dawa tofauti zinatumika kutoa mimba!kuna nyingine una pewa mbili tofauti dozi ya kwanza mfano mifepristone then two days later unapewa dozi ya dawa nyingine misopristol.Lakini ukishameza kidonge tu ujue ndo bai bai :biggrin:sorry it means ukishameza hivo vidonge inatoka muda gani........I mean na inakuwaje
I'm just curious
Inategemea unatumia dawa gani dia kwasababu kuna dawa tofauti zinatumika kutoa mimba!kuna nyingine una pewa mbili tofauti dozi ya kwanza mfano mifepristone then two days later unapewa dozi ya dawa nyingine misopristol.Lakini ukishameza kidonge tu ujue ndo bai bai :biggrin:
mapande pande ya damu kwasababu fetus anakuwa tayari keshaanza kudevelop!Oral termination of pregnancy inatumika up to 12 weeks,mimba ikiwa kubwa zaidi ya hapo lazima afanyiwe surgical abortion!so it comes out as bleeding vile ama..........
na hiyo inatakiwa kwa mimba changa au hata mtu miezi 7 6 anaweza kuzinywa..
mapande pande ya damu kwasababu fetus anakuwa tayari keshaanza kudevelop!Oral termination of pregnancy inatumika up to 12 weeks,mimba ikiwa kubwa zaidi ya hapo lazima afanyiwe surgical abortion!
... Incase pregnant do nt gt out and U give up to abort , then expect to have a kid with disorders or dead one.
Mweeh!
ikisungu iki!