Abortion pills side effects

chief bazoka

Member
Jan 31, 2014
97
22
Habari wadau naomba msaada wa effects ya abortion pills for three weeks pregnant.na je kuna uwezekano ku save mimba akiwa kaisha vimeza hivyo vidonge? Msaada please
 
hakuna uwezekano wa kusave mimba kama ameshameza abortion pills!Ndio maana unatakiwa uamue kabla hujavimeza unachotaka!
 
hakuna uwezekano wa kusave mimba kama ameshameza abortion pills!Ndio maana unatakiwa uamue kabla hujavimeza unachotaka!

sorry it means ukishameza hivo vidonge inatoka muda gani........I mean na inakuwaje

I'm just curious
 
hapana. hautaweza ku save kitu chochote na kuhusu side effects ni allergies na zinatibika ukipata dawa sahihi, effect nyingine ni kuharibu kizazi na kukufanya usishike mimba tena.

ila inavyojulikana na kutokana na shuhuda mbalimbali, inawezekana mimba ikagoma kutoka kabisa hata unywe nini. omba mungu iwe hivyo.:wave:
 
sorry it means ukishameza hivo vidonge inatoka muda gani........I mean na inakuwaje

I'm just curious
Inategemea unatumia dawa gani dia kwasababu kuna dawa tofauti zinatumika kutoa mimba!kuna nyingine una pewa mbili tofauti dozi ya kwanza mfano mifepristone then two days later unapewa dozi ya dawa nyingine misopristol.Lakini ukishameza kidonge tu ujue ndo bai bai :biggrin:
 
Inategemea unatumia dawa gani dia kwasababu kuna dawa tofauti zinatumika kutoa mimba!kuna nyingine una pewa mbili tofauti dozi ya kwanza mfano mifepristone then two days later unapewa dozi ya dawa nyingine misopristol.Lakini ukishameza kidonge tu ujue ndo bai bai :biggrin:

so it comes out as bleeding vile ama..........
na hiyo inatakiwa kwa mimba changa au hata mtu miezi 7 6 anaweza kuzinywa..
 
so it comes out as bleeding vile ama..........
na hiyo inatakiwa kwa mimba changa au hata mtu miezi 7 6 anaweza kuzinywa..
mapande pande ya damu kwasababu fetus anakuwa tayari keshaanza kudevelop!Oral termination of pregnancy inatumika up to 12 weeks,mimba ikiwa kubwa zaidi ya hapo lazima afanyiwe surgical abortion!
 
mapande pande ya damu kwasababu fetus anakuwa tayari keshaanza kudevelop!Oral termination of pregnancy inatumika up to 12 weeks,mimba ikiwa kubwa zaidi ya hapo lazima afanyiwe surgical abortion!

Thanks my dia kwa elim hii
 
ukimeza dawa kutoa mimba ikakataa kutoka kunauwezekano wa kuzaa mtoto mwenye ulemavu,mara mtoto hana mikono etc so take care.
 
... If she swallowed misopros for example, then a pregnant will b completely aborted afta 2 weeks, bt soon afta swallow t few hours later she'll feel litle pain and a need to use toilet where she will start to bleed , the situation of bleeding will last up to two weeks averagely.

If still not aborted yet and stomach keep growing then count two more weeks and re drink 'em medicine again. It'll surely removed.
 
dah.. wanawake mna taabu sana... ya nn uabort akat ulikubali ikaingia mwenyewe????????????/
:mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
 
Back
Top Bottom