Nilipanda hili gari mwaka jana mwezi wa September nilipata dharura ya kwenda Arusha saa saba mchana, nikaambiwa lipo gari la Saibaba linaondoka saa nane, aisee gari lilikuwa limejaza watu kama daladala ya Mbagala
Linanuka hatari, ikawa mwisho wa kupanda hilo Saibaba