waziri ndejembi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Waziri Ndejembi aagiza kusimamishwa kazi kwa afisa ardhi Handeni kwa kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameagiza kusimamishwa kazi kwa Afisa Ardhi wa Halmashauri ya Mji wa Handeni kutokana na kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi katika eneo hilo. Ametoa agizo hilo Februari 20, 2025, wakati wa ziara ya Waziri Ndejembi katika...
  2. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi aagiza eneo la ukuta lililozidi kigogo kuvunjwa

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ametoa siku mbili kwa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuvunja ukuta uliozidi kwenye kiwanja namba P18618 kilichopo eneo la Kigogo jijini Dar es Salaam baada ya mmiliki wake kushindwa kuwasilisha nyaraka za uhalali wa kiwanja hicho. Mhe...
  3. The Watchman

    Waziri Ndejembi atoa siku mbili kuvunjwa ukuta kigogo kutokana na kukosekana nyaraka halali za umiliki

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameipa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni siku mbili kuvunja ukuta wa kiwanja namba P18618, eneo la Kigogo, baada ya mmiliki wake kushindwa kuwasilisha nyaraka za uhalali wa umiliki. Akizungumza na wananchi leo...
  4. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi aagiza kuundwa kamati kumaliza mgogoro wa ardhi Mwanza

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Mandeleo ya Makazi, Mhanidis Anthony Sanga kuunda kamati mara moja kwa ajili ya kushughulikia mgogoro wa ardhi wa kiwanja namba 01, Kitalu R kilichopo barabara ya Nyerere...
  5. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi: Tunzeni hati za ardhi mlizopokea ziwe msaada kwa vizazi vijavyo

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi amekabidhi Hati za Haki Miliki za Kimila kwa wananchi 700 wilayani Ikungi mkoani Singida ambapo amewataka kuzitunza Hati hizo ili ziendelee kuwa msaada kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo. Akizungumza wakati wa zoezi...
  6. Waufukweni

    Korogwe: Waziri Ndejembi amng’oa Afisa Ardhi kwa kusababisha migogoro

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi, amemuondoa kwenye nafasi yake Afisa Ardhi wa Wilaya ya Korogwe, Nyambega Kichele, kwa kutokufuata utaratibu wa kutoa hati za ardhi na kusababisha migogoro. Waziri Ndejembi amechukua hatua hiyo wakati wa ziara yake ya siku...
  7. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi: Wathamini hakikisheni thamani halisi ya ardhi inajulikana

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amewataka Wathamini nchini kupunguza migogoro inayotokana na uthamini kwa kuhakikisha thamani halisi ya ardhi inayofanyiwa uthamini inajulikana. Mhe. Ndejembi amesema hayo kwenye Mkutano Mkuu wa Bodi ya Usajili wa Wathamini...
  8. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi: Zingatieni taaluma yenu katika kuwahudumia Watanzania

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya kikao kazi na wataalamu wa Ofisi ya Mthamini Mkuu wa Serikali Novemba 1, 2024 kilichofanyika Makao Makuu ya Wizara Mtumba jijini Dodoma. Katika kikao hicho, Mhe Ndejembi amewataka wataalamu wa idara hiyo kufanya...
  9. J

    Waziri Ndejembi amemuelekeza Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi 7 wa Wizara ya Ardhi

    WAZIRI NDEJEMBI AMEMUELEKEZA KATIBU MKUU WIZARA YA ARDHI KUWACHUKULIA HATUA ZA KINIDHAMU WATUMISHI 7 WA WIZARA YA ARDHI Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi, amemuelekeza Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuwachukulia hatua za...
  10. Suley2019

    LGE2024 Waziri Ndejembi ajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Dodoma

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Chamwino mkoani Dodoma, Mhe. Deogratius Ndejembi amejiandikisha kwenye Daftari la Mpiga Kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, katika kitongoji cha Mpela Wilaya Chamwino, Dodoma leo. Zoezi hilo limeanza leo nchi...
  11. Wizara ya Ardhi

    Ndejembi aelekeza asiyelipwa fidia karatu kuendeleza eneo lake

    KARATU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Degratius Ndejembi ameelekeza mkazi wa Karatu mkoani Arusha mwenye viwanja Block 'J' mzee Desderi Damiano kuendeleza eneo hilo kwa shughuli za maendeleo kufuatia halmashauri ya wilaya ya Karatu kushindwa kumlipa fidia. Waziri Ndejembi...
  12. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi aelekeza Watumishi wa Ardhi wasio waadilifu kuchukuliwa hatua

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amemwelekeza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kumchukulia hatua kali za kinidhamu Afisa Ardhi Mwandamizi Gaudence Mtalo kwa kusababisha mkanganyiko kwa kukosa uadilifu katika kutekeleza majukumu yake. Waziri Ndejembi ametoa...
Back
Top Bottom