vita ya tigray

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hypersonic WMD

    Ethiopia iliwezaje kushinda vita ya Tigray waliokua wanakaribia Adis Ababa afu DRC inashindwa na m23 kisa vifaaa?? Inashindwa kukopy na kupaste

    Jeshi la kongo na Ethiopia yote yapo top 10 ya majeshi yenye nguvu. Lakini kama unavo jua Technologia huwa haimsamehe mtu. Anaeendana nae mara zote huwa na faida kubwa kwene vita. Jeshi la Waasi wa tigray waliku na support ya Western technologically. Hapa n pamoja na kuwavujishia satellite na...
  2. Mr Chromium

    Hamna sehemu watu wanauana na kufa Afrika kama Ethiopia

    Ukitoa DRC au Congo ambayo hadi sasa zaidi ya watu million 12 wameuliwa. Sehemu nyingine ni Ethiopia Ethiopia watu wanauana kama Kuku kisa ukabila. Serikali ya watigray iliyoongoza kwa miaka 30 ilisababisha ukabila uwe mkubwa kwa kutengeneza serikali au vyama vya kikabila vya majimbo. Kuna...
Back
Top Bottom