Wizara ya Afya Tanzania ingetoa takwimu za ukweli watu wakachukua tahadhari kuliko kusema kuna watu wawili halafu watu wanaibuka kutoka sehemu mbalimbali wakiwa wanaumwa na kupika kauli hiyo.
==
Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani nchini (mpox), Daktari Godfrey Mtunzi Kutoka Manispaa...
Wakuu,
Ila kwenye ile video jamaa alisema wapo wengi hapo hospitali, serikali inasema watu 2!🤔🤔
Pia soma: Huu ni ugonjwa gani? Wizara ya Afya semeni kitu
=====
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UGONJWA WA MPOX NCHINI
Tarehe: 10 Machi, 2025, DODOMA
Mnamo tarehe 7 Machi, 2025 Wizara ya Afya kupitia...
Wakuu,
Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai.
Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu.
Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana...
Wakuu,
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TISHIO LA UGONJWA WA MPOX
Agosti 17, 2024, Dodoma.
Ndugu wananchi, Itakumbukwa kwamba, Wizara ya Afya ilitoa tadhadhari kwa umma kuhusu ugonjwa wa Mpox mnamo tarehe 3 Agosti 2024. Katika kipindi chote, Wizara imeendelea kufuatilia kwa karibu mwenendo wa ugonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.