simba sc vs stellenbosch fc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Megalodon

    Simba SC habari imeishia Zanzibar , hii timu Yanga angeipiga goli 5

    Tuacheni MZAHA SSC leo imejimaliza. Bado kikosi cha SSC ni dhaifu, halafu ni kama wachezaji hawana hari. Last game pale Misri SSC ilikuwa na shot on Target 10 , sadly hawakupata goli, Al masiri walikuwa na 2 shot on target na wakapata goli 2 . Huwa wachezaji wa SSC hawajui maana ya Fursa, too...
  2. Komeo Lachuma

    Nasema Hivi Simba akipita hii hatua Niwe banned kwa miezi 4

    Hii ID ni moja ya ID zinazogombewa sana humu ndani. Watu wanapanda dau niwaachie. Wengi baada ya kugundua kupitia ID hii siri kubwa sana.... Niliache hili. Naangalia hapa kwenye kioo sioni. Naangalia tena sioni hata kwa kuibia ibia. HAMNA KITU YAANI ZERO KABISA. SIMBA HAIENDI SHINDA HATA NUSU...
  3. ngara23

    Simba hii ilifikaje semi final? Nashauri mkimbie mechi ya marudiano huko South Africa

    Ndo maana shirikisho ni mashindano madogo yaani hakuna bingwa wa nchi yoyote anayecheza haya mashindano ya kitoto Leo nimetazama mchezo wa Simba dhidi ya Stellenbosch, ni kituko tu ni kama ndondo au mashindano ya Watoto wa shule Simba inacheza kama haina coach? Timu haijui ikabe vip...
  4. L

    Simba wamecheza vizuri sana,na huu ni ushindi wa kupongezwa kabisa

    Nawapongeza Simba Kwa ushindi dhidi ya Stellenbosch wa goli moja Kwa bila. Sijui ni kutokuelewa matokeo ya Sola au ni ushabiki uliopitiliza. Mashabiki wengi wa Simba ni kama hawajaridhika hivi Kwa goli moja bila na kosakosa kibao. Lakini mchezo wa soka tunajua una matokeo ya kushangaza. Ukweli...
  5. M

    Simba pamoja na kuwa kwenye uwanja wake wa nyumbani na kufanya Kila kitu Stellenbosch wameonyesha uwezo

    Ule msemo wa uchawi aupandi ndege inawezekana ukaja kutimia kule bondeni kwa madiba! Simba pamoja na kuwa kwenye uwanja wake wa nyumbani na kufanya Kila aina ya ushirikina bado wamepewa mechi ngumu na vijana wa madiba! Kama kawaida yao na jadi yao ya ushirikina ndio vimewanusuru Leo kupata...
  6. A

    Hii imekaaje? Tupo nyumbani kwenye mechi ya nusu fainali na kocha anaanzisha holding midfielders wawili

    Inasikitisha. Tupo nyumbani kwenye mechi ya nusu fainali ambayo tunahitaji matokeo ya goli kuanzia 2 kwenda juu alafu kocha anaanza na viungo wakabaji na sio wakabaji tu ila pia wenye mentality ya kukaba wawili yaani Ngoma na Kagoma. Ukiacha hilo, tupo nyumbani tunaongeza kwa goli moja la...
  7. Waufukweni

    FT | Simba SC 1-0 Stellenbosch FC | Nusu Fainali CAFCC | New Amaan Stadium | 20.4.2025

    Mechi kali ya mkondo wa kwanza Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika inapigwa leo, ambapo Mnyama Simba SC anawakaribisha Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini, katika dimba la Amaan, Visiwani Zanzibar. Mchezo huo utachezwa kuanzia saa 10:00 jioni. Kaa karibu kwa Live updates Asubuhi...
Back
Top Bottom