simba sc vs al masry

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Rais Samia aipongeza Simba SC kufuzu Nusu Fainali CAF

    Rais Samia ameipongeza Klabu ya Simba kwa ushindi walioupata katika mchezo wa mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) na kufuzu Nusu Fainali. Kupitia salamu zake, Rais Samia amesema ushindi huo si tu kwamba umeleta furaha kwa mashabiki wa Simba, bali pia umechangia...
  2. Harvey Specter

    Tamko la Jeshi la Polisi kuelekea Simba SC vs. Al Masry

    Jeshi la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeeleza kwamba litahakikisha usalama wa hali ya juu katika mchezo wa kombe la shirikisho Afrika (CAF) kati ya timu ya Simba ya Tanzania na AL Masry kutoka Misri. Jeshi linawahakikishia wananchi kwamba kutakua na ukaguzi...
  3. Waufukweni

    FT: Simba SC 2-0 Al Masry SC | Robo Fainali CAF CC | Uwanja wa Mkapa | 09 Aprili 2025

    Mechi ya Maamuzi hii baada ya kipigo cha bao 2-0 ugenini mkondo wa kwanza. Mnyama Simba SC dhidi ya Al Masry SC mechi ya mkondo wa pili ya Robo Fainali ya Shirikisho Afrika. ⏰ Mchezo huu unapigwa saa 10:00 Jioni 🏟️ Uwanja wa Mkapa Vikosi vya timu zote tayari zimetoka Mechi imeanza (Kick...
Back
Top Bottom