Rais Samia ameipongeza Klabu ya Simba kwa ushindi walioupata katika mchezo wa mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) na kufuzu Nusu Fainali.
Kupitia salamu zake, Rais Samia amesema ushindi huo si tu kwamba umeleta furaha kwa mashabiki wa Simba, bali pia umechangia...
Jeshi la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeeleza kwamba litahakikisha usalama wa hali ya juu katika mchezo wa kombe la shirikisho Afrika (CAF) kati ya timu ya Simba ya Tanzania na AL Masry kutoka Misri.
Jeshi linawahakikishia wananchi kwamba kutakua na ukaguzi...
Mechi ya Maamuzi hii baada ya kipigo cha bao 2-0 ugenini mkondo wa kwanza.
Mnyama Simba SC dhidi ya Al Masry SC mechi ya mkondo wa pili ya Robo Fainali ya Shirikisho Afrika.
⏰ Mchezo huu unapigwa saa 10:00 Jioni
🏟️ Uwanja wa Mkapa
Vikosi vya timu zote tayari zimetoka
Mechi imeanza (Kick...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.