siasa na uchumi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Siasa inavyoathiri maisha ya Mtanzani wa kawaida katika maisha yake ya kila siku

    Siasa ina athari kubwa kwenye mfumo wa maisha ya mtu wa kawaida katika maisha ya kila siku kwa njia mbalimbali, ikiwemo: 1. Uchumi na Ajira: Sera za kisiasa, kama kodi, ruzuku, na sheria za ajira, huathiri uchumi wa nchi. Hali ya kisiasa inaweza kuathiri upatikanaji wa ajira, kiwango cha...
  2. Cute Wife

    Pre GE2025 Makonda: Vijana achaneni na siasa, hailipi. Pesa ndiyo inalipa

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa vijana kuachana na siasa kwakuwa siasa hailipi badala yake wafikirie kuhusu kutengeneza pesa, maana pesa ndio inalipa na ukiikosa hata kwenye uchaguzi huchaguliwi! Pale ambako mwanasiasa anakwambia siasa hailipi! Kama hailipi mbona haachi...
Back
Top Bottom