ripoti ya uchunguzi mali za ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Kwanini ripoti ya Dkt. Bashiru Ally imeendelea kufichwa? Rais Samia anaogopa nini kuliweka wazi?

    Shalom wajumbe wa JF. Mara tu baada ya kuingia madarakani 2015, Rais John Pombe Magufuli aliunda Kamati Maalum (ukipenda ita tume) ya kuchunguza mali za CCM nchi nzima. Kamati/Tume hii iliongozwa na Dk. Bashiru Ally. Kamati hii ilifanya kazi kubwa na kuja na findings na mapendekezo ikiwa na...
Back
Top Bottom